IZENGOB
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 323
- 317
Wadau kama thread hapo juu inavyojieleza namba hizo zinzkua zinaaanisha nini? kama yupo anayezijua maana yake anisaidie manake.
Ninataka natafuta gari naambiwa ngari ipo vizuri namba D Mwingine ananiambia usijali hata kama ni namba C, B haijalishi kwani Prado na gari zilizo nz cc juu ya 2,000 huwa haijalishi Namba kikubwa ni matunzo.
Nipeni uzoefu ndugu zangu nisije ingizwa mjini.
Ninataka natafuta gari naambiwa ngari ipo vizuri namba D Mwingine ananiambia usijali hata kama ni namba C, B haijalishi kwani Prado na gari zilizo nz cc juu ya 2,000 huwa haijalishi Namba kikubwa ni matunzo.
Nipeni uzoefu ndugu zangu nisije ingizwa mjini.