[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Una gari kwenye EA? Au unawaagia wenzio..??? Una mpango wa kununua gari kwenye EB? Au unawakaribishia wenzio, a.k.a mshika mapembe..??
[emoji3][emoji3]Hujatosheka na F za darasani kamanda?[emoji1787]
Kabisa mkuu..hata juzi nilikuwa namchekesha rafiki yangu kuwa namba D ilikuwa Ina vibe la kipekeeIla kiukweli namba E haina mzuka kama ilivyokuwaga D
T111 EPANasubiri ZAA
Una uhakika utakuwa hujafa kweli?Nasubiri ZAA
Hakuna mwenye hakika ya maisha mkuu.Una uhakika utakuwa hujafa kweli?
Usijali utapata Mtani.Kwenye E ninahitaji gari ila sijajua
Yes mpaka T 999 EZZUsijali utapata Mtani.
Hahahaaa. Sio mbaya.Yes mpaka T 999 EZZ
Nadhani ni miaka miwili mbeleHahahaaa. Sio mbaya.
Namba ZAA itafika mwaka 2200.Una uhakika utakuwa hujafa kweli?