Namba EA ndiyo kwaheri hivyo karibu EB

Una gari kwenye EA? Au unawaagia wenzio..??? Una mpango wa kununua gari kwenye EB? Au unawakaribishia wenzio, a.k.a mshika mapembe..??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimebahatika kupata EAY. kitu kitamu hatari ila ni mule mule toyata.. kwa mzungu hela haitoshi bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…