Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una gari kwenye EA? Au unawaagia wenzio..??? Una mpango wa kununua gari kwenye EB? Au unawakaribishia wenzio, a.k.a mshika mapembe..??Kama kichwa kinavyosema tuko ukingoni tunaiaga No EA sasa ni wakati wa No EB karibu EB na kwaheri EA!!View attachment 2427931
Kuna aliyewahi kuona series yoyote inayoanza na namba 001 hadi 100? Personall nimeona kwenye magari ya serikali tu lakini huku private sijaonaKama kichwa kinavyosema, tuko ukingoni tunaiaga namba EA sasa ni wakati wa namba EB.
Karibu EB na kwaheri EA!View attachment 2427931
Kwenye jukwaa la magari na vyombo vya usafiri, NDIYO..Hili nalo ni jambo la kujadili humu kweli?
Kweli tuna interest tofauti.Kama kichwa kinavyosema, tuko ukingoni tunaiaga namba EA sasa ni wakati wa namba EB.
Karibu EB na kwaheri EA!View attachment 2427931
YOU.Cant wait T255FUC
F a f a n u a hebu Mtani. 🤣Ndio basi tena
Muuzie kijana mkuuUna gari kwenye EA? Au unawaagia wenzio..??? Una mpango wa kununua gari kwenye EB? Au unawakaribishia wenzio, a.k.a mshika mapembe..??
Kwenye E ninahitaji gari ila sijajuaF a f a n u a hebu Mtani. 🤣
Hujatosheka na F za darasani kamanda?🤣basi kamando hivyo naisubiri F