Namba hazidanganyi Ronaldo yupo kwenye anguko kama Rooney

Namba hazidanganyi Ronaldo yupo kwenye anguko kama Rooney

Hivi nyie mnafkli ronaldo anakuwa kiumri kurudi chini ama, na umri pia ushakuwa kikwazo utalazimisha watu tufklie uelewa wako umekaa vp kwa kumlinganisha ronaldo wa 2014 na ronaldo wa 2016
 
Mbaya zaidi ZIZU anasema MESSI ATABAKI KUWA MESSI[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yani hapo ndio kapigilia msumari

Hapo ndio kamaliza kila kitu..u know that Zizzou anajua kila kitu kuhusu messi na ameamua kuyatoa ya moyoni ya ronaldo....hata hawa mafanZ wanajua kabsaa mtu wao si chochote kwa messi...basi chuki za kijinga ziczokua na maana [ HATE Iz USELESS ]
 
Hapo ndio kamaliza kila kitu..u know that Zizzou anajua kila kitu kuhusu messi na ameamua kuyatoa ya moyoni ya ronaldo....hata hawa mafanZ wanajua kabsaa mtu wao si chochote kwa messi...basi chuki za kijinga ziczokua na maana [ HATE Iz USELESS ]
uko sahihi hawa washabiki wake ukiwauliza kwa nini wanamchukia MESSI hawana jibu wakati KING hana majivuno wala majigambo wala hafunui mapaja
1475005048334.jpg
 
Hilo ni jibu la mkurupuko huna sababu ila ni kupinga tu na hujui kwanini unapinga

Usijitoe ufahamu kijana ukajifanya hujui chochote kile....just think b4 u post, na sina time ya kubishana na mtu wa maswali yasiyoeleweka...
 
Usijitoe ufahamu kijana ukajifanya hujui chochote kile....just think b4 u post, na sina time ya kubishana na mtu wa maswali yasiyoeleweka...
Nanihii ulale wewe ndo shida yenu watoto mliozaliwa kwenye siasa kila kitu mnaweka siasa... Jibu kama swali lilivyo acha mbwembwe
 
Yeye na Messi nani anaongoza kuwa Pancha? Ronaldo muda umeisha.


Kishajiozea huyo...Argentain-Man alikua majeruhi miezi miwili na....lakini bado fiti na hatrick za kumwaga....hahahaa huyu King ataendelea kuwakimbiza hawa vilaza mpaka bas...tumuombee apone tu....

 
Nanihii ulale wewe ndo shida yenu watoto mliozaliwa kwenye siasa kila kitu mnaweka siasa... Jibu kama swali lilivyo acha mbwembwe

Kwa taarifa yako mimi sio mtoto, pili- huwa sikurupuki kujibu maswali ya kijinga kama haya.....yaani hata mtoto wa 7yrs old ukimuliza swali kama hilo atakupuuza... trust me kijana...na jifunze kuuliza maswali yaliyoenda shule sio ilimradi tu na ww uonekane umepost ukajua umeuliza kitu cha maana...ucku mwema
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kwa taarifa yako mimi sio mtoto, pili- huwa sikurupuki kujibu maswali ya kijinga kama haya.....yaani hata mtoto wa 7yrs old ukimuliza swali kama hilo atakupuuza... trust me kijana...na jifunze kuuliza maswali yaliyoenda shule sio ilimradi tu na ww uonekane umepost ukajua umeuliza kitu cha maana...ucku mwema
Ahsante nawe pia.. Lala kesho uwahi shule....[emoji468]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wazee wa suluhu

😀😀😀 piga mbwaaaaaaaa....ah kumbe wamesuluhu nilikua sijaona vizuri mpaka nimevaa miwani...
 
😀😀😀 piga mbwaaaaaaaa....ah kumbe wamesuluhu nilikua sijaona vizuri mpaka nimevaa miwani...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilishaandaa ile emoji ya piga mbwaaaaaaaaaaa ila si mbaya japo lawama ziende kwa sporting cp wangekaza mechi ya kwanza ingekuwa leo hawa madrid wana point 1
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilishaandaa ile emoji ya piga mbwaaaaaaaaaaa ila si mbaya japo lawama ziende kwa sporting cp wangekaza mechi ya kwanza ingekuwa leo hawa madrid wana point 1


😀😀😀EMOJI...Sports wako vizuri wangekaza kweli km unavyosema.. hawa FIsi wangeambulia 1point,

ukiangalia hata mechi ya jana hamna kitu... records zao na Dortmund hizi hapa

Dortmund 3 win
Draw 2
Madrid 2 win

In-short Hawa FISi wanabahati kwakweli..hawana mpira wa maana,wababaishaji tu kwanzia pancha wao hadi teammates...last season wamebeba uefa chmpnZ yani huwezi tegemea kama wangefika hata semi finl...pumbff kabisa
 
Wanabeza ronaldo Na Madrid kwa ujumla, nawashangaa, kina kipindi timu haifanyi vzr, lkn Madrid hili ni suala la muda tu,
 
Wanabeza ronaldo Na Madrid kwa ujumla, nawashangaa, kina kipindi timu haifanyi vzr, lkn Madrid hili ni suala la muda tu,
Hii mijamaa wanajisahaulisha kuwa Madrid ndiye Mwenye Kombe la UEFA,Cr7 katoka majeruhi na hajacheza mechi kadhaa. Mechi zote tatu tumetoa suluhu tena mbili opponent ndiye anacomeback.
Wanajisahaulisha kuwa la liga Barca imechukua kombe kwa tofauti ya point moja tena kwa maamuzi ya mechi ya mwisho huku waliiacha kwa points kumi zaidi na likawa recovered hilo gap.
 
Msisahau kuangalia umri wa hawa wachezaji. Washavuka 30 kwahio ni kawaida perfomance kushuka.
 
Back
Top Bottom