Namba hazidanganyi Ronaldo yupo kwenye anguko kama Rooney

Namba hazidanganyi Ronaldo yupo kwenye anguko kama Rooney

Ronaldo yupi wa kupiga Hat Trick?

huyu jamaa sio mzima. eti penaldo kacheza UEFA hajapumzika, kacheza EURO hajapumzika. LAME EXCUSES! Griiezman kacheza nae EURO akiwa na kikos cha France, kacheza UEFA mpaka final, mbona yeye haja flop kama TEAM MAFUTA! alafu hujui kama penaldo hajacheza mechi za pre-season na mwanzo za ligi sababu ya mapumziko? wengi wanao mshabikia Ronaldo hawamshabikii sababu ya mpira anao cheza, they just love his six packs, his greasy hair and other stuff! mwaka unaelekea kuisha huu, messi anaongoza kwa magoli na assist akifuatiwa na suarez.acha aendelee kumuita king huyo diver ambae kama hajafunga bas hana mchango kweenye team. wakati sisi tunaenjoy the full football package from professor Leonel Andres Messi, kuanzia magoli, assist, skills and his football miracles!
 
View attachment 407368

Namba Hazidanganyi, Ronaldo yupo kwenye anguko kama Rooney


Zinedine Zidane alizungumza baada ya mchezo vs Las Palmas kwamba alimbadili Cristiano Ronaldo ili kumpumzisha kuelekea mchezo wa kesho vs Dortmund katika usiku wa mabingwa wa ulaya. Ilikuwa wazi ni kauli ya kisingizio, ukizingatia fomu ya CR7 kwa sasa.

Ronaldo anakikimbiza kivuli chake mwenyewe. Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele ndivyo ubora wa Ronaldo unavyopungua na huo ni ukweli usiofichika.

Namba hazidanganyi na kwa upande wa Cristiano – ambaye anapaswa kuangalia takwimu zake mtandaoni kufahamu hali aliyonayo sasa. kuna muda namba 7 zilikuwa hazina wa kulinganishwa nae. Lakini mpaka kufikia sasa ukiangalia namba zake – zinaonyesha udhaifu mno. Amekuwa na mwanzo mbaya kwenye ligi tangu alipojiunga na Real Madrid.

Hakuna aliyedhani wakati akifunga goli lake la kwanza msimu huu katika mchezo vs Osasuna, ndani ya dakika 10, kwamba hayupo kwenye fomu yake. Angalau kwenye suala la ufungaji kwenye La Liga. Hata hivyo, hilo ndio goli pekee alilofunga msimu huu mpaka sasa kufikia mchezo wa sita. Raundi ya 7 imefika na Ronaldo yupo chini kwenye msimamo wa wafungaji wanaowania Pichichi. Hata, Pedro Leon amefunga magoli mengi kumzidi.
Ronaldo yupo katika msimu wake wa 8 Santiago Bernabeu na inabidi turudi miaka 8 nyuma alipokuwa Manchester United kuona namba ndogo kama za sasa. Msimu wa 2007/09, baada ya michezo 6, alikuwa amefunga goli moja tu. Rekodi yake mbaya zaidi katika La Liga ilikuwa msimu wa 2010/11, alifunga magoli 3 katika mechi 6. Tangu wakati huo hajawahi kufunga chini ya magoli matano katik mechi 6 za kwanza.

Msimu wa 2014-15, aliweka rekodi, alifunga magoli 10 katika mechi 6 za kwanza. Neno ‘slow decline’ linaweza kutumika kama CR7 hatoweza kurudisha kiwango, na tunaweza kushuhudia kile kinachomkumba Wayne Rooney hivi sasa Manchester United.
Kwani anamiaka mingapi,amechukua tuzo ngapi,kulikua na akina Pele,Maradona akina Gaucho wako wapi leo hii siwezi kumshangaa Ronaldo hata akiisha keshatumika
 
Sitosahau mechi ya athletic bilbao na barcelona messi anaingia sub baada ya kurecover from injury na anafunga goli murua kabisa na kuufanya mpira kuonekana mchezo mwepesi sana..the lad is talented.. Hii ni zawadi kwa football fans wanaoujua na kuupenda huu mchezo..
 
Oya mzee namba azidangaji Andunje ameshakubali wewe vp bado tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Team andunje bana [emoji23]

e1b509c7d1e240caef2e790ece4bd872.jpg


View attachment 407368

Namba Hazidanganyi, Ronaldo yupo kwenye anguko kama Rooney


Zinedine Zidane alizungumza baada ya mchezo vs Las Palmas kwamba alimbadili Cristiano Ronaldo ili kumpumzisha kuelekea mchezo wa kesho vs Dortmund katika usiku wa mabingwa wa ulaya. Ilikuwa wazi ni kauli ya kisingizio, ukizingatia fomu ya CR7 kwa sasa.

Ronaldo anakikimbiza kivuli chake mwenyewe. Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele ndivyo ubora wa Ronaldo unavyopungua na huo ni ukweli usiofichika.

Namba hazidanganyi na kwa upande wa Cristiano – ambaye anapaswa kuangalia takwimu zake mtandaoni kufahamu hali aliyonayo sasa. kuna muda namba 7 zilikuwa hazina wa kulinganishwa nae. Lakini mpaka kufikia sasa ukiangalia namba zake – zinaonyesha udhaifu mno. Amekuwa na mwanzo mbaya kwenye ligi tangu alipojiunga na Real Madrid.

Hakuna aliyedhani wakati akifunga goli lake la kwanza msimu huu katika mchezo vs Osasuna, ndani ya dakika 10, kwamba hayupo kwenye fomu yake. Angalau kwenye suala la ufungaji kwenye La Liga. Hata hivyo, hilo ndio goli pekee alilofunga msimu huu mpaka sasa kufikia mchezo wa sita. Raundi ya 7 imefika na Ronaldo yupo chini kwenye msimamo wa wafungaji wanaowania Pichichi. Hata, Pedro Leon amefunga magoli mengi kumzidi.
Ronaldo yupo katika msimu wake wa 8 Santiago Bernabeu na inabidi turudi miaka 8 nyuma alipokuwa Manchester United kuona namba ndogo kama za sasa. Msimu wa 2007/09, baada ya michezo 6, alikuwa amefunga goli moja tu. Rekodi yake mbaya zaidi katika La Liga ilikuwa msimu wa 2010/11, alifunga magoli 3 katika mechi 6. Tangu wakati huo hajawahi kufunga chini ya magoli matano katik mechi 6 za kwanza.

Msimu wa 2014-15, aliweka rekodi, alifunga magoli 10 katika mechi 6 za kwanza. Neno ‘slow decline’ linaweza kutumika kama CR7 hatoweza kurudisha kiwango, na tunaweza kushuhudia kile kinachomkumba Wayne Rooney hivi sasa Manchester United.
 
huyu jamaa sio mzima. eti penaldo kacheza UEFA hajapumzika, kacheza EURO hajapumzika. LAME EXCUSES! Griiezman kacheza nae EURO akiwa na kikos cha France, kacheza UEFA mpaka final, mbona yeye haja flop kama TEAM MAFUTA! alafu hujui kama penaldo hajacheza mechi za pre-season na mwanzo za ligi sababu ya mapumziko? wengi wanao mshabikia Ronaldo hawamshabikii sababu ya mpira anao cheza, they just love his six packs, his greasy hair and other stuff! mwaka unaelekea kuisha huu, messi anaongoza kwa magoli na assist akifuatiwa na suarez.acha aendelee kumuita king huyo diver ambae kama hajafunga bas hana mchango kweenye team. wakati sisi tunaenjoy the full football package from professor Leonel Andres Messi, kuanzia magoli, assist, skills and his football miracles!
Kwani huyo greeaman ana goli ngapi?
 
Mkuu, una maoni gani kuhusu mfungaji bora wa UCL kwa miaka 5 mfululizo?.
huyu jamaa sio mzima. eti penaldo kacheza UEFA hajapumzika, kacheza EURO hajapumzika. LAME EXCUSES! Griiezman kacheza nae EURO akiwa na kikos cha France, kacheza UEFA mpaka final, mbona yeye haja flop kama TEAM MAFUTA! alafu hujui kama penaldo hajacheza mechi za pre-season na mwanzo za ligi sababu ya mapumziko? wengi wanao mshabikia Ronaldo hawamshabikii sababu ya mpira anao cheza, they just love his six packs, his greasy hair and other stuff! mwaka unaelekea kuisha huu, messi anaongoza kwa magoli na assist akifuatiwa na suarez.acha aendelee kumuita king huyo diver ambae kama hajafunga bas hana mchango kweenye team. wakati sisi tunaenjoy the full football package from professor Leonel Andres Messi, kuanzia magoli, assist, skills and his football miracles!
 
😀😀😀EMOJI...Sports wako vizuri wangekaza kweli km unavyosema.. hawa FIsi wangeambulia 1point,

ukiangalia hata mechi ya jana hamna kitu... records zao na Dortmund hizi hapa

Dortmund 3 win
Draw 2
Madrid 2 win

In-short Hawa FISi wanabahati kwakweli..hawana mpira wa maana,wababaishaji tu kwanzia pancha wao hadi teammates...last season wamebeba uefa chmpnZ yani huwezi tegemea kama wangefika hata semi finl...pumbff kabisa
Haa ha ha
 
Hii mijamaa wanajisahaulisha kuwa Madrid ndiye Mwenye Kombe la UEFA,Cr7 katoka majeruhi na hajacheza mechi kadhaa. Mechi zote tatu tumetoa suluhu tena mbili opponent ndiye anacomeback.
Wanajisahaulisha kuwa la liga Barca imechukua kombe kwa tofauti ya point moja tena kwa maamuzi ya mechi ya mwisho huku waliiacha kwa points kumi zaidi na likawa recovered hilo gap.
Haa ha ha Real Madrid.
 
Umeongea point PNC...The fact that Computer iz injured na ameprove kama kawa without any doubt, na still the best player in the world,


But UEFA OFFICIALS nikweli hadi sasa najiuliza kwa kipi alichofanya hadi apewe tuzo hiyo? Hata ukicheki mafanZ wake wametulia kimya hata kujitokeza tu wanaona aibu, ukweli ni kwamba tuzo hiyo ilikua inamhusu the greatest footballer of all time (KING) mwenyewe...(STUPID UEFA) hawatendi haki.....

Mtu mwenyewe kishajichokea,hana lolote, na imefikia hata kocha [ZIZZOU] kumchoka kabsaa na Kumtoa nje! pumbff kabisa, yani wameniudhi sana,haki haikutendeka pale.....Mungu anajua
Akiba ya MANENO ni muhimu sana..!
 
huyu jamaa sio mzima. eti penaldo kacheza UEFA hajapumzika, kacheza EURO hajapumzika. LAME EXCUSES! Griiezman kacheza nae EURO akiwa na kikos cha France, kacheza UEFA mpaka final, mbona yeye haja flop kama TEAM MAFUTA! alafu hujui kama penaldo hajacheza mechi za pre-season na mwanzo za ligi sababu ya mapumziko? wengi wanao mshabikia Ronaldo hawamshabikii sababu ya mpira anao cheza, they just love his six packs, his greasy hair and other stuff! mwaka unaelekea kuisha huu, messi anaongoza kwa magoli na assist akifuatiwa na suarez.acha aendelee kumuita king huyo diver ambae kama hajafunga bas hana mchango kweenye team. wakati sisi tunaenjoy the full football package from professor Leonel Andres Messi, kuanzia magoli, assist, skills and his football miracles!
msimu umemalizika njoo tuhesabu wote makombe waliochukua hao wachezaji [emoji3]
 
View attachment 407368

Namba Hazidanganyi, Ronaldo yupo kwenye anguko kama Rooney


Zinedine Zidane alizungumza baada ya mchezo vs Las Palmas kwamba alimbadili Cristiano Ronaldo ili kumpumzisha kuelekea mchezo wa kesho vs Dortmund katika usiku wa mabingwa wa ulaya. Ilikuwa wazi ni kauli ya kisingizio, ukizingatia fomu ya CR7 kwa sasa.

Ronaldo anakikimbiza kivuli chake mwenyewe. Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele ndivyo ubora wa Ronaldo unavyopungua na huo ni ukweli usiofichika.

Namba hazidanganyi na kwa upande wa Cristiano – ambaye anapaswa kuangalia takwimu zake mtandaoni kufahamu hali aliyonayo sasa. kuna muda namba 7 zilikuwa hazina wa kulinganishwa nae. Lakini mpaka kufikia sasa ukiangalia namba zake – zinaonyesha udhaifu mno. Amekuwa na mwanzo mbaya kwenye ligi tangu alipojiunga na Real Madrid.

Hakuna aliyedhani wakati akifunga goli lake la kwanza msimu huu katika mchezo vs Osasuna, ndani ya dakika 10, kwamba hayupo kwenye fomu yake. Angalau kwenye suala la ufungaji kwenye La Liga. Hata hivyo, hilo ndio goli pekee alilofunga msimu huu mpaka sasa kufikia mchezo wa sita. Raundi ya 7 imefika na Ronaldo yupo chini kwenye msimamo wa wafungaji wanaowania Pichichi. Hata, Pedro Leon amefunga magoli mengi kumzidi.
Ronaldo yupo katika msimu wake wa 8 Santiago Bernabeu na inabidi turudi miaka 8 nyuma alipokuwa Manchester United kuona namba ndogo kama za sasa. Msimu wa 2007/09, baada ya michezo 6, alikuwa amefunga goli moja tu. Rekodi yake mbaya zaidi katika La Liga ilikuwa msimu wa 2010/11, alifunga magoli 3 katika mechi 6. Tangu wakati huo hajawahi kufunga chini ya magoli matano katik mechi 6 za kwanza.

Msimu wa 2014-15, aliweka rekodi, alifunga magoli 10 katika mechi 6 za kwanza. Neno ‘slow decline’ linaweza kutumika kama CR7 hatoweza kurudisha kiwango, na tunaweza kushuhudia kile kinachomkumba Wayne Rooney hivi sasa Manchester United.
[emoji12]
 
huyu jamaa sio mzima. eti penaldo kacheza UEFA hajapumzika, kacheza EURO hajapumzika. LAME EXCUSES! Griiezman kacheza nae EURO akiwa na kikos cha France, kacheza UEFA mpaka final, mbona yeye haja flop kama TEAM MAFUTA! alafu hujui kama penaldo hajacheza mechi za pre-season na mwanzo za ligi sababu ya mapumziko? wengi wanao mshabikia Ronaldo hawamshabikii sababu ya mpira anao cheza, they just love his six packs, his greasy hair and other stuff! mwaka unaelekea kuisha huu, messi anaongoza kwa magoli na assist akifuatiwa na suarez.acha aendelee kumuita king huyo diver ambae kama hajafunga bas hana mchango kweenye team. wakati sisi tunaenjoy the full football package from professor Leonel Andres Messi, kuanzia magoli, assist, skills and his football miracles!
huyu jamaa sio mzima. eti penaldo kacheza UEFA hajapumzika, kacheza EURO hajapumzika. LAME EXCUSES! Griiezman kacheza nae EURO akiwa na kikos cha France, kacheza UEFA mpaka final, mbona yeye haja flop kama TEAM MAFUTA! alafu hujui kama penaldo hajacheza mechi za pre-season na mwanzo za ligi sababu ya mapumziko? wengi wanao mshabikia Ronaldo hawamshabikii sababu ya mpira anao cheza, they just love his six packs, his greasy hair and other stuff! mwaka unaelekea kuisha huu, messi anaongoza kwa magoli na assist akifuatiwa na suarez.acha aendelee kumuita king huyo diver ambae kama hajafunga bas hana mchango kweenye team. wakati sisi tunaenjoy the full football package from professor Leonel Andres Messi, kuanzia magoli, assist, skills and his football miracles!
 

Attachments

  • IMG-20170604-WA0010.jpg
    IMG-20170604-WA0010.jpg
    50.8 KB · Views: 31
Back
Top Bottom