Namba makadirio ya ujenzi wa nyumba yenye bedrooms 3 na master 1

JGGM

Member
Joined
Sep 26, 2021
Posts
32
Reaction score
72
Naomba msaada wa kunifanyia makadirio ya nyumba ya kisasa yenye bedrooms 3 plus master room 1 ambayo itakuwa basement planned to be a kitcheni.

Tukianzia kwenye boma lake itachukua sh ngapi

Mahali ni Dar es Salaam
 
Naomba msaada wa kunifanyia makadirio ya nyumba ya kisasa yenye bedrooms 3 plus master room 1 ambayo itakuwa basement planned to be a kitcheni.

Tukianzia kwenye boma lake itachukua sh ngapi

Mahali ni Dar es Salaam
Msingi 8-10m kwa bei za sasa
Nondo 22k, cem 17.5k

Kuinua boma 10m
Kuezeka 18m (bati alaf)
Hadi hapo ni 36m-38m

Finishing apo ina depend na quality unayotaka. Mfano kuna marumaru za box 25k zipo 10. Na kuna zingine box ni 80k na zipo 10 vile vile.

Au masink kuna ya 25k na yapo ya 100k.

But kwa normal finish kwa sisi normal standard huwa tunaweka ni sawa na bei uliyotumia mpaka kuezeka. So km ujenzi ni 38m, makadiria ya finishing ya kawaida ni 38m
 
Kuezeka 18 mls inafikaje asee...

Tupeni mchanganuo, mnatutisha.
 
Shukrani sana
 
76m au 80m uko sahihi hapa inatoka nyumba ya kisasa kabisa na inaweza kuzidi kidogo.

Hapana ni nje ya fence, garden na perving
 
Naomba msaada wa kunifanyia makadirio ya nyumba ya kisasa yenye bedrooms 3 plus master room 1 ambayo itakuwa basement planned to be a kitcheni.

Tukianzia kwenye boma lake itachukua sh ngapi

Mahali ni Dar es Salaam
Muheshimiwa,inategemea mkoa au wilaya ulipo.
 
Naomba msaada wa kunifanyia makadirio ya nyumba ya kisasa yenye bedrooms 3 plus master room 1 ambayo itakuwa basement planned to be a kitcheni.

Tukianzia kwenye boma lake itachukua sh ngapi

Mahali ni Dar es Salaam
Hongera sana, ingia you tube andika SANUKA MEDIA, kuna jamaa hutoa ufafanuzi mzuri sana.
 
Naomba msaada wa kunifanyia makadirio ya nyumba ya kisasa yenye bedrooms 3 plus master room 1 ambayo itakuwa basement planned to be a kitcheni.

Tukianzia kwenye boma lake itachukua sh ngapi

Mahali ni Dar es Salaam
Nyumba iliokamilika mpaka unahamia, fanya shillingi million 1 kwa kila square meter.

Nilifundishwa hesabu hizo za haraka haraka za bajeti ya ujenzi na Mzee Mmoja kwenye uzi wake hapa hapa JF. Alisema hizo hesabu ni kwa kutumia vifaa vya kawaida vya ujenzi, kwa kutumia vifaa anavyounda yeye, kwa gharama hiyo hiyo unapata nyumba ya juu na chini:

 
Kuna bati la 20,000 na kuna bati la 50,000 ingawa yote mkiezeka hamnyeshwei na mvua. Tofauyi ya bei ndio tofauti ya gharama ya nyumba.
 
Kwa nyumba kama hiyo
Ukubwa ni around 170-200 Sqm

  • So, makadirio kujenga yote mpaka finishing, vifaa+fundi ni around 110 - 130Mil
  • Boma (msingi, kuta, paa) ~ Tsh 60Mil

For more technical advice +255-657-685-268
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…