Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Nyumba NafuuuKwa nyumba kama hiyo
Ukubwa ni around 170-200 Sqm
- So, makadirio kujenga yote mpaka finishing, vifaa+fundi ni around 110 - 130Mil
- Boma (msingi, kuta, paa) ~ Tsh 60Mil
For more technical advice +255-657-685-268
Ndio maan nyumba itatofautiana bei kulingana na finishing unatakaHiyo sio ya kisasa. Hiyo nyumba ili iwe ya kisasa itabugia pesa balaa mzee
Complete house kama kiwanja tayari unacho hapo minimum andaa like 25mill unamaliza na kuingia ndani kulala na kutengeneza watotoNaomba msaada wa kunifanyia makadirio ya nyumba ya kisasa yenye bedrooms 3 plus master room 1 ambayo itakuwa basement planned to be a kitcheni.
Tukianzia kwenye boma lake itachukua sh ngapi
Mahali ni Dar es Salaam
Unatudanganya bwana.Kwa nyumba kama hiyo
Ukubwa ni around 170-200 Sqm
- So, makadirio kujenga yote mpaka finishing, vifaa+fundi ni around 110 - 130Mil
- Boma (msingi, kuta, paa) ~ Tsh 60Mil
For more technical advice +255-657-685-268
Mil 30 anamaliza hilo jengo bila shidaKwa uzoefu Dar andaa milion 50 huo mji kujenga n tabu sn