Tetesi: Namba mbili CHADEMA anakaribia kujiunga na CCM, huyo aliyeenda ametangulizwa tu na Kila kitu kipo tayari. Ni sUala la muda tu

Tetesi: Namba mbili CHADEMA anakaribia kujiunga na CCM, huyo aliyeenda ametangulizwa tu na Kila kitu kipo tayari. Ni sUala la muda tu

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Tetesi za kweli zisizo na shaka hata kidogo ni kwamba CCM wanakaribia kufanya usajili mzito na kila kitu kipo tayari! Baada ya yule jamaa kutambulishwa juzi, usiku wa kuamkia leo majira ya saa 12:20, kulikuwa na mazungumzo nyeti yakimhusisha namba mbili, jamaa wa Iringa pamoja na mwenyekiti mkuu wa chama kwa njia ya mkutano wa video.

Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo! Jamaa huyo aliumizwa vibaya na utawala uliopita, hivyo akawa anataka kwanza watu wamalize kile kamchango. Hata hivyo, boss amemwambia atampa gari mpya zaidi ya ile anayoiwaza!

Habari za uhakika ni kuwa mwezi ujao jamaa ataachana na chama chake na atapokelewa rasmi katika chama cha kijani na blue! Mapokezi yamepangwa kufanyika Arusha ambapo kutakuwa na shughuli maalum. Siasa ni ugali!
 
Tetesi za kweli zisizo na shaka hata kidogo ni kwamba ccm wanakaribia kabisa kufanya usajili mzito na Kila kitu kipo tayari !! Ipo hivi baada ya yule jamaa kutambulishwa juzi ,usiku wa kuamkia Leo majira ya saa 12:20 kulikuwa na mazungumzo nyeti yakimhusisha namba mbili na jamaa yule wa iringa pamoja mwenyekiti mkuu wa chama kwa njia ya conference! Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo ! Si unajua jamaa aliumizwa vibaya na utawala uliopita kwa hiyo akawa anataka kwanza watu wamalize kale kamchango !! Lakini boss ka mwambia atampa ndinga mpya zaidi ya hiyo anayoitaka yeye ! Habari za uhakika ni kuwa mwezi ujao jamaa ataachana na chama chake na atapokelewa rasmi wilaya ya kijani na blue ! Mapokezi yamepangwa kufanyika Arusha ambapo kutakuwa na shughuli maalumu ! Siasa ni ugali
Bado tutasikia tetesi za mama Abdul kujiunga na chama😂
 
Tetesi za kweli zisizo na shaka hata kidogo ni kwamba ccm wanakaribia kabisa kufanya usajili mzito na Kila kitu kipo tayari !! Ipo hivi baada ya yule jamaa kutambulishwa juzi ,usiku wa kuamkia Leo majira ya saa 12:20 kulikuwa na mazungumzo nyeti yakimhusisha namba mbili na jamaa yule wa iringa pamoja mwenyekiti mkuu wa chama kwa njia ya conference! Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo ! Si unajua jamaa aliumizwa vibaya na utawala uliopita kwa hiyo akawa anataka kwanza watu wamalize kale kamchango !! Lakini boss ka mwambia atampa ndinga mpya zaidi ya hiyo anayoitaka yeye ! Habari za uhakika ni kuwa mwezi ujao jamaa ataachana na chama chake na atapokelewa rasmi wilaya ya kijani na blue ! Mapokezi yamepangwa kufanyika Arusha ambapo kutakuwa na shughuli maalumu ! Siasa ni ugali
waende tu.....hakuna shida
 
Tetesi za kweli zisizo na shaka hata kidogo ni kwamba ccm wanakaribia kabisa kufanya usajili mzito na Kila kitu kipo tayari !! Ipo hivi baada ya yule jamaa kutambulishwa juzi ,usiku wa kuamkia Leo majira ya saa 12:20 kulikuwa na mazungumzo nyeti yakimhusisha namba mbili na jamaa yule wa iringa pamoja mwenyekiti mkuu wa chama kwa njia ya conference! Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo ! Si unajua jamaa aliumizwa vibaya na utawala uliopita kwa hiyo akawa anataka kwanza watu wamalize kale kamchango !! Lakini boss ka mwambia atampa ndinga mpya zaidi ya hiyo anayoitaka yeye ! Habari za uhakika ni kuwa mwezi ujao jamaa ataachana na chama chake na atapokelewa rasmi wilaya ya kijani na blue ! Mapokezi yamepangwa kufanyika Arusha ambapo kutakuwa na shughuli maalumu ! Siasa ni ugali
anahangaika mno, kwa maisha yake yaliyobaki namshauri vitu viwili tu.

1. Anzisha chama haraka, wewe ni threat kubwa san akwa ccm, utachukua nchi yote.
au
2. hamia ccm mapema, ule nchi kwasababu ukiwa chadema malengo yako hayatatimia.

povu ruksa.
 
Tetesi za kweli zisizo na shaka hata kidogo ni kwamba CCM wanakaribia kufanya usajili mzito na kila kitu kipo tayari! Baada ya yule jamaa kutambulishwa juzi, usiku wa kuamkia leo majira ya saa 12:20, kulikuwa na mazungumzo nyeti yakimhusisha namba mbili, jamaa wa Iringa pamoja na mwenyekiti mkuu wa chama kwa njia ya mkutano wa video.

Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo! Jamaa huyo aliumizwa vibaya na utawala uliopita, hivyo akawa anataka kwanza watu wamalize kile kamchango. Hata hivyo, boss amemwambia atampa gari mpya zaidi ya ile anayoiwaza!

Habari za uhakika ni kuwa mwezi ujao jamaa ataachana na chama chake na atapokelewa rasmi katika chama cha kijani na blue! Mapokezi yamepangwa kufanyika Arusha ambapo kutakuwa na shughuli maalum. Siasa ni ugali!
Uchochezi huu
 
Back
Top Bottom