Tetesi: Namba mbili CHADEMA anakaribia kujiunga na CCM, huyo aliyeenda ametangulizwa tu na Kila kitu kipo tayari. Ni sUala la muda tu

Tetesi: Namba mbili CHADEMA anakaribia kujiunga na CCM, huyo aliyeenda ametangulizwa tu na Kila kitu kipo tayari. Ni sUala la muda tu

anahangaika mno, kwa maisha yake yaliyobaki namshauri vitu viwili tu.

1. Anzisha chama haraka, wewe ni threat kubwa san akwa ccm, utachukua nchi yote.
au
2. hamia ccm mapema, ule nchi kwasababu ukiwa chadema malengo yako hayatatimia.

povu ruksa.
Umesema vyema!
Aanzishe chama leo leo nchi itavurugika lakini tutakuwa tumetoka kwenye ukoloni mamboleo

Atavuna sisiem nccr chadema atc cuf tlp wasio na vyama tutakuwa tumejikomboa uwiiiiii
 
Tetesi za kweli zisizo na shaka hata kidogo ni kwamba CCM wanakaribia kufanya usajili mzito na kila kitu kipo tayari! Baada ya yule jamaa kutambulishwa juzi, usiku wa kuamkia leo majira ya saa 12:20, kulikuwa na mazungumzo nyeti yakimhusisha namba mbili, jamaa wa Iringa pamoja na mwenyekiti mkuu wa chama kwa njia ya mkutano wa video.

Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo! Jamaa huyo aliumizwa vibaya na utawala uliopita, hivyo akawa anataka kwanza watu wamalize kile kamchango. Hata hivyo, boss amemwambia atampa gari mpya zaidi ya ile anayoiwaza!

Habari za uhakika ni kuwa mwezi ujao jamaa ataachana na chama chake na atapokelewa rasmi katika chama cha kijani na blue! Mapokezi yamepangwa kufanyika Arusha ambapo kutakuwa na shughuli maalum. Siasa ni ugali!
Vip kuhusu hoja ya ufisadi ya Mh Mpina mkuu?
 
BEFORE and AFTER Msigwa huyu wa CCM akikutana na Msigwa yule wa CHADEMA ngumi zinaweza kupigwa hadharani.
 
Tetesi za kweli zisizo na shaka hata kidogo ni kwamba CCM wanakaribia kufanya usajili mzito na kila kitu kipo tayari! Baada ya yule jamaa kutambulishwa juzi, usiku wa kuamkia leo majira ya saa 12:20, kulikuwa na mazungumzo nyeti yakimhusisha namba mbili, jamaa wa Iringa pamoja na mwenyekiti mkuu wa chama kwa njia ya mkutano wa video.

Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo! Jamaa huyo aliumizwa vibaya na utawala uliopita, hivyo akawa anataka kwanza watu wamalize kile kamchango. Hata hivyo, boss amemwambia atampa gari mpya zaidi ya ile anayoiwaza!

Habari za uhakika ni kuwa mwezi ujao jamaa ataachana na chama chake na atapokelewa rasmi katika chama cha kijani na blue! Mapokezi yamepangwa kufanyika Arusha ambapo kutakuwa na shughuli maalum. Siasa ni ugali!
CHADEMA ni watu, sio MTU.
 
Tetesi za kweli zisizo na shaka hata kidogo ni kwamba CCM wanakaribia kufanya usajili mzito na kila kitu kipo tayari! Baada ya yule jamaa kutambulishwa juzi, usiku wa kuamkia leo majira ya saa 12:20, kulikuwa na mazungumzo nyeti yakimhusisha namba mbili, jamaa wa Iringa pamoja na mwenyekiti mkuu wa chama kwa njia ya mkutano wa video.

Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo! Jamaa huyo aliumizwa vibaya na utawala uliopita, hivyo akawa anataka kwanza watu wamalize kile kamchango. Hata hivyo, boss amemwambia atampa gari mpya zaidi ya ile anayoiwaza!

Habari za uhakika ni kuwa mwezi ujao jamaa ataachana na chama chake na atapokelewa rasmi katika chama cha kijani na blue! Mapokezi yamepangwa kufanyika Arusha ambapo kutakuwa na shughuli maalum. Siasa ni ugali!
Naetaka kuondoka ,haondoke ,chadema taifa kubwa
 
Sio tu chembamba
Kuwaamini wanasiasa inazidi kuwa ngumu sana kwangu, nachojua wakihamia huko ni haki yao, lakini nikikumbuka nilivyomuamini Dr. Slaa na kile alichokuja kufanya, tangu wakati ule nimeufungua moyo wangu kwa yeyote afanye atakavyo.

Watanganyika tunachangia kwa namna fulani kuwachosha hawa jamaa, kuna wakati wanakuwa serious kuleta mabadiliko, bahati mbaya sisi wengine tunakuwa wazito kuyapokea kwa kufanya kile wanachotutaka tufanye kwa wakati.

Lazima nasi kwa namna moja au nyingine tukubali lawama, tusiishie kila wakati kuwanyooshea wao vidole wamenunuliwa, ikiwa kila siku wanatupigia kelele tunaibiwa ajabu ndio tunazidi kuuchapa usingizi, nao wanachoka ni wanadamu pia.
 
Bwana yule ameahidiwa kupewa jukumu kubwa la kitaifa na kimataifa haraka iwezekanavyo! Jamaa huyo aliumizwa vibaya na utawala uliopita, hivyo akawa anataka kwanza watu wamalize kile kamchango. Hata hivyo, boss amemwambia atampa gari mpya zaidi ya ile anayoiwaza!
Kuna wanao nunulika. Huyu siyo mmoja wao!

CCM haina bei ya kununua watu wa aina hii.
Mada yako imevurugikia hapo hapo.

Unge endeleza hadithi yako upande wa Mwenyekiti, ingenoga sana.
 
Back
Top Bottom