Aisee ndio umefufukia huku? hali yako ilikuwa mbaya tangu juzi pole sana, wale Vipers walitengeneza kidonda, halafu Kamati ya Maadili TFF jana ikaja kusiginia ndoo ya pilipili hapo!Utaelewa tu kudadek! Kelele zote kwisha!
Mkiulizwa mna tofauti gani na yule mropokaji Haji Manara, sijui mtajibu nini! Mtaanzia na nyinyi hatua ya awali. Hakuna cha kufika robo fainali, wala kushika nafasi ya 11 kwa ubora.
Azam kaenda kwa points za SimbaMkuu elewa swali. Kwanini Azam anaanzia hatua ya pili?
Yn angalau ww umeelezea vzr.Azam anaingia round ya pili kwa sababu simba hayupo Confederation cup Na tanzania lazima itoe timu inayoanzia Hatua ya pili kutokana na point alizokusanya Simba na idadi ya wawakilishi CAF kwa maana ya timu Nne... Confederation Wanaenda Azam na Geita Gold... Azam alimaliza juu ya geita gold so ndio kapata hyo nafasi ambayo Ilitakiwa Acheze simba lakin kwakua anacheza champions leagua Ataanzia hatua ya awali kutokana na point zake kukusanya Akitokea Confederation, Km simba Angekusanya point zake akiwa club bingwa msimu uliopita basi angeanza hatua ya pili club bingwa sijui nmesomeka mkuu
Azam anaingia round ya pili kwa sababu simba hayupo Confederation cup Na tanzania lazima itoe timu inayoanzia Hatua ya pili kutokana na point alizokusanya Simba na idadi ya wawakilishi CAF kwa maana ya timu Nne... Confederation Wanaenda Azam na Geita Gold... Azam alimaliza juu ya geita gold so ndio kapata hyo nafasi ambayo Ilitakiwa Acheze simba lakin kwakua anacheza champions leagua Ataanzia hatua ya awali kutokana na point zake kukusanya Akitokea Confederation, Km simba Angekusanya point zake akiwa club bingwa msimu uliopita basi angeanza hatua ya pili club bingwa sijui nmesomeka mkuu
Hili swali halitaeweleka kwa sisi washabiki wa timu hii huku na wale wa timu ile kuleMkuu elewa swali. Kwanini Azam anaanzia hatua ya pili?
nimeelewa kwa kupitiliza kabisa kabisa yani mpaka nakuona kama wewe ndo Motsepe[emoji123]Azam anaingia round ya pili kwa sababu simba hayupo Confederation cup Na tanzania lazima itoe timu inayoanzia Hatua ya pili kutokana na point alizokusanya Simba na idadi ya wawakilishi CAF kwa maana ya timu Nne... Confederation Wanaenda Azam na Geita Gold... Azam alimaliza juu ya geita gold so ndio kapata hyo nafasi ambayo Ilitakiwa Acheze simba lakin kwakua anacheza champions leagua Ataanzia hatua ya awali kutokana na point zake kukusanya Akitokea Confederation, Km simba Angekusanya point zake akiwa club bingwa msimu uliopita basi angeanza hatua ya pili club bingwa sijui nmesomeka mkuu
Ana point za kutosha kuanzia first roundHoja yangu haipo kwa Simba bali kwa Azam. Kwanini Azam anaanzia hatua ya pili kwenye shirikisho?
Ingekuaje kama Azam angemaliza juu Simba kwenye ligi arafu wote wapo shirikisho ?Azam anaingia round ya pili kwa sababu simba hayupo Confederation cup Na tanzania lazima itoe timu inayoanzia Hatua ya pili kutokana na point alizokusanya Simba na idadi ya wawakilishi CAF kwa maana ya timu Nne... Confederation Wanaenda Azam na Geita Gold... Azam alimaliza juu ya geita gold so ndio kapata hyo nafasi ambayo Ilitakiwa Acheze simba lakin kwakua anacheza champions leagua Ataanzia hatua ya awali kutokana na point zake kukusanya Akitokea Confederation, Km simba Angekusanya point zake akiwa club bingwa msimu uliopita basi angeanza hatua ya pili club bingwa sijui nmesomeka mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shougaaaa angu, tuliza kwan bas, km Zamalek ina anzia pre, Simba asianze why???Utaelewa tu kudadek! Kelele zote kwisha!
Mkiulizwa mna tofauti gani na yule mropokaji Haji Manara, sijui mtajibu nini! Mtaanzia na nyinyi hatua ya awali. Hakuna cha kufika robo fainali, wala kushika nafasi ya 11 kwa ubora.
Wanaume mnaitanaje shoga angu hii ni nini tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shougaaaa angu, tuliza kwan bas, km Zamalek ina anzia pre, Simba asianze why???
Mbna swali langu liko rahisi sanaaa.
Unawashwa na kipi?? Kitulize bas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume mnaitanaje shoga angu hii ni nini tena?
Kabebwa na points za simba, points za simba sio za club pekee bali na nchi timu washiriki, ndio maana wakati ule Utopolo alibebwa na Makolo ingawa uto hakuwa bingwa wa ligiMkuu elewa swali. Kwanini Azam anaanzia hatua ya pili?
Kama kabebwa na pointi za Simba mbona Al Ahli Tripoli alifika nusu fainali na wako juu ya Tanzania kwa pointi ila timu zake zote zinaanzia steji za awali kabisa?Kabebwa na points za simba, points za simba sio za club pekee bali na nchi timu washiriki, ndio maana wakati ule Utopolo alibebwa na Makolo ingawa uto hakuwa bingwa wa ligi
Hakuna anejua hapa tuta danganyana tu kama Zamalek wana lalamika hawaelewi humu tutapeana matango pori tuKama kabebwa na pointi za Simba mbona Al Ahli Tripoli alifika nusu fainali na wako juu ya Tanzania kwa pointi ila timu zake zote zinaanzia steji za awali kabisa?
Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app