Namba ya gari poa, lakini hati ya nyumba ingekua poa zaidi !

Akiwa na nyumba bila gari wema asingemuita baby,
 
Jamaa ana nyumba wazo jirani na rafiki yangu flani, sijui kwanini haijawa occupied namuona mlinzi tu pale.
Ni nyumba safi kweli.
 
Jamaa ana nyumba wazo jirani na rafiki yangu flani, sijui kwanini haijawa occupied namuona mlinzi tu pale.
Ni nyumba safi kweli.

Anavyopenda sifa angekuwa ameshaisambaza kwenye mitandao
 
Kweli anayo na imeshakamilika... Kwa nini ahamii Hilo mimi sijui ila ipo na imeisha ukiingalia kwa nje..

Wazo sehemu gani nikaione muda huu, niko magengeni hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…