Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwa kweli hii namba ni kero sana., unapiga dakika za kutosha(kumi na zaid), unakata kisha unapiga tena simu haipokelewi. Badala yake, unaambiwa uendelee kusubir mpaka unaamua kuacha /kukata.
Simu nilianza kupiga tangu juzi ila mpaka leo sijafajikiwa, na sababu ya kuwapigia ni matatizo yanayosababishwa na system yao.
Unaamua kwenda kwenye tawi lao, nako ni yale yale yaani ni foleni mwanzo mwisho. Kwa kifupi NMB mnaboa na huenda mna wateja kuliko uwezo wenu wa kuwahudumia ingawa mtaani vijana wasio na ajira ni wengi tu.
Hayo mabilioni mnayopata kama faida kila mwska kwanini msyatumie kuajiri wafanyakazi wapya mkatupunguzia kero?
Hakika NMB mnakera sana.
Hovyo kabisa!
Simu nilianza kupiga tangu juzi ila mpaka leo sijafajikiwa, na sababu ya kuwapigia ni matatizo yanayosababishwa na system yao.
Unaamua kwenda kwenye tawi lao, nako ni yale yale yaani ni foleni mwanzo mwisho. Kwa kifupi NMB mnaboa na huenda mna wateja kuliko uwezo wenu wa kuwahudumia ingawa mtaani vijana wasio na ajira ni wengi tu.
Hayo mabilioni mnayopata kama faida kila mwska kwanini msyatumie kuajiri wafanyakazi wapya mkatupunguzia kero?
Hakika NMB mnakera sana.
Hovyo kabisa!