Namba ya Mawasiliano ya Simu ya Zembwela

Mzalendowetu

Member
Joined
May 22, 2012
Posts
87
Reaction score
35
Wana JF,

Ningependa huyu Bwana awe MC katika harusi yangu. Mwenye kufahamu namba yake ya simu, au mawasiliano mengine yoyote yatakayofanikisha kumpata, naomba anipatie
 
Wana JF,
Ningependa huyu Bwana awe MC katika harusi yangu. Mwenye kufahamu namba yake ya simu, au mawasiliano mengine yoyote yatakayofanikisha kumpata, naomba anipatie

acheni kudhalilisha fani za watu, hivi kila mtu mropokaji ana sifa na uwezo wa kuwa mc? wewe utakuwa mzaramo au mndengereko si bure.
 
Mimi nilikuwa nayo alinipa kipindi hana umaarufu sana 2001, Nilikoma kumpigia mwaka jana! Swali la kwanza: NANI KAKUPA NO.YANGU? Nikamkumbusha! akarudia USIMPE MTU NAMBA YANGU MARA NNE! Nika-DELETE! BAADA YA HAPO!
 
Mimi nilikuwa nayo alinipa kipindi hana umaarufu sana 2001, Nilikoma kumpigia mwaka jana! Swali la kwanza: NANI KAKUPA NO.YANGU? Nikamkumbusha! akarudia USIMPE MTU NAMBA YANGU MARA NNE! Nika-DELETE! BAADA YA HAPO!

kwani mtu akiwa na namba yako ina tatizo gani? ni ushamba tu wa kizamani watu wana namba ya obama na kikwete ndio itakuwa ya zembwela? ukiona mtu anaogopa kutoa namba basi huyo anaishi kijanja town.
 
kwani mtu akiwa na namba yako ina tatizo gani? ni ushamba tu wa kizamani watu wana namba ya obama na kikwete ndio itakuwa ya zembwela? ukiona mtu anaogopa kutoa namba basi huyo anaishi kijanja town.

yani vitu vingine ni vya ajabu kabisa! namba mbona ni kitu cha kawaida tu.nafikiri waliokua nayo wata mPM.
 
Wana JF,

Ningependa huyu Bwana awe MC katika harusi yangu. Mwenye kufahamu namba yake ya simu, au mawasiliano mengine yoyote yatakayofanikisha kumpata, naomba anipatie


0713341108...haya ndugu harusi njema...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…