Namba ya nani unaitafuta bila mafanikio?

Namba ya nani unaitafuta bila mafanikio?

Kuna vitu ulishapishana na mimi ndiyo maana.
Nitakupa ukibadilika.
Ulinihukumu vibaya,
Tena kwa kufata hisia na si uhalisia.unaacho amini kipo hakipo na hakitakuja kuwepo.kama hutanielewa leo na kuniamin basi haitakuja tokea sababu hakuna kitakachobadili..nilivyo kuwa jana ndivyo nilivyo leo na nitaendelea kuwa hivyo kesho
 
Ulinihukumu vibaya,
Tena kwa kufata hisia na si uhalisia.unaacho amini kipo hakipo na hakitakuja kuwepo.kama hutanielewa leo na kuniamin basi haitakuja tokea sababu hakuna kitakachobadili..nilivyo kuwa jana ndivyo nilivyo leo na nitaendelea kuwa hivyo kesho
Ukisharekebisha uandishi wako ambao mimi unanikwaza, tutaenda sawa.

Tena nakwazika zaidi kufungua PM mpya kila siku..
Ukifungua convo mpya jua kabisa sitaijibu.
 
Ukisharekebisha uandishi wako ambao mimi unanikwaza, tutaenda sawa.

Tena nakwazika zaidi kufungua PM mpya kila siku..
Ukifungua convo mpya jua kabisa sitaijibu.
Pm mpya kila siku?
Tht is not u confused m with sm1 else.anyway ni ngumu kukushawishi unacho amini sio...i rest my case & keep hope for the best.mchana mwema
 
Natafuta namba ya Meagan Good.

MG.jpg
 
Back
Top Bottom