Namba ya simu ya mpenzi wangu haipatikani, nifanyaje?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Mhanga: Ni mapenzi ya mwezi 1, yaani tulienda vizuri da penny, sasa sielewi nini mbaya
imagine last week ilikuwa birthday yake nikamfanyia bash kubwa tu, nikamnunulia na cheni ya dhababu

Money Penny: aisee, dhahabu na hali hii ya uchumi?

Mhanga: mtoto mzuri, mzuri sana, yani tulivyozama kwenye tendo ni kama sikutoka nilinasia ndani

Money Penny: Eboooooooooooooo!

Mhanga: sasa nashangaa leo nampigia simu hapatikani, jana ivyo ivyo, leo pia, nifanyaje, nimeenda kwao amehama

Money Penny: nilijua tu, hii hALI YA UCHUMI buana sio Kenya tu

haya, wenye namba ya simu ya mrembo anaomba mumsaidie MAANA YEYE BADO AMEZAMA NDANI...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…