Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Mhanga: Ni mapenzi ya mwezi 1, yaani tulienda vizuri da penny, sasa sielewi nini mbaya
imagine last week ilikuwa birthday yake nikamfanyia bash kubwa tu, nikamnunulia na cheni ya dhababu
Money Penny: aisee, dhahabu na hali hii ya uchumi?
Mhanga: mtoto mzuri, mzuri sana, yani tulivyozama kwenye tendo ni kama sikutoka nilinasia ndani
Money Penny: Eboooooooooooooo!
Mhanga: sasa nashangaa leo nampigia simu hapatikani, jana ivyo ivyo, leo pia, nifanyaje, nimeenda kwao amehama
Money Penny: nilijua tu, hii hALI YA UCHUMI buana sio Kenya tu
haya, wenye namba ya simu ya mrembo anaomba mumsaidie MAANA YEYE BADO AMEZAMA NDANI...
imagine last week ilikuwa birthday yake nikamfanyia bash kubwa tu, nikamnunulia na cheni ya dhababu
Money Penny: aisee, dhahabu na hali hii ya uchumi?
Mhanga: mtoto mzuri, mzuri sana, yani tulivyozama kwenye tendo ni kama sikutoka nilinasia ndani
Money Penny: Eboooooooooooooo!
Mhanga: sasa nashangaa leo nampigia simu hapatikani, jana ivyo ivyo, leo pia, nifanyaje, nimeenda kwao amehama
Money Penny: nilijua tu, hii hALI YA UCHUMI buana sio Kenya tu
haya, wenye namba ya simu ya mrembo anaomba mumsaidie MAANA YEYE BADO AMEZAMA NDANI...