Namba ya simu ya mpenzi wangu haipatikani, nifanyaje?

Namba ya simu ya mpenzi wangu haipatikani, nifanyaje?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Mhanga: Ni mapenzi ya mwezi 1, yaani tulienda vizuri da penny, sasa sielewi nini mbaya
imagine last week ilikuwa birthday yake nikamfanyia bash kubwa tu, nikamnunulia na cheni ya dhababu

Money Penny: aisee, dhahabu na hali hii ya uchumi?

Mhanga: mtoto mzuri, mzuri sana, yani tulivyozama kwenye tendo ni kama sikutoka nilinasia ndani

Money Penny: Eboooooooooooooo!

Mhanga: sasa nashangaa leo nampigia simu hapatikani, jana ivyo ivyo, leo pia, nifanyaje, nimeenda kwao amehama

Money Penny: nilijua tu, hii hALI YA UCHUMI buana sio Kenya tu

haya, wenye namba ya simu ya mrembo anaomba mumsaidie MAANA YEYE BADO AMEZAMA NDANI...
 
Back
Top Bottom