Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
Nyie wanaume kuna ugumu gani kujibu hili swali? Ndo men's code ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hayuko hukoFrom your FB page!!! Simply from the net!!
Bado yapoHivi yale mambo ya kuomba namba ya mdada ama kuitafuta bila yeye kukupatia bado yapo?
KhaaaMi nawaambiaga kanipa mama yako nilienda kwenu kukuuulizia.
Hivi yale mambo ya kuomba namba ya mdada ama kuitafuta bila yeye kukupatia bado yapo?
Ndugu yangu yapo hata hapa nimetoka kuchukua kama 20 hivi.Hivi yale mambo ya kuomba namba ya mdada ama kuitafuta bila yeye kukupatia bado yapo?
Daah wewee unapenda chini kinomaMkuu hayo hayatakaa yaishe mkuu, na hilo ni swali gumu sana kujibu.
Siku moja nilikutana na dada mmoja mzuri sana Hospital, tumekaa nikajipendekeza tukaongea tu vizuri, nilipoomba namba akanitosa, bahati nzuri alitangulia yeye kwa daktari, mimi nikafuata baada yake, sasa bahati nzuri kwenye form zile kuna mahali pa kujaza namba, nikaview ile namba nikaiweka kichwani, nimetoka tu nikaisave.
Kesho yake nampigia kumuuliza anaendeleaje nikaulizwa hilo swali maana anakumbuka hakunipa, nikamweleza process yote ilivyokuwa hakukubali, ilibidi arudi hospital kumuuliza daktari kama alinipa namba, daktari akamwambia hakuna kitu kama hicho, thanks God, ile process nilivyoielezea ndo iliyoonesha kweli nilikuwa na nia ya dhati.
Daah sijui naonaje Mimi ila nilishafanya Sana.Ndugu yangu yapo hata hapa nimetoka kuchukua kama 20 hivi.
Si unajua kulikuwa na enzi za maradona ila sasa nae kapita tupo na messi[emoji23] [emoji23]Daah sijui naonaje Mimi ila nilishafanya Sana.
Daah wewee unapenda chini kinoma