Namba yangu umepata wapi?

Namba yangu umepata wapi?

Mkuu hayo hayatakaa yaishe mkuu, na hilo ni swali gumu sana kujibu.

Siku moja nilikutana na dada mmoja mzuri sana Hospital, tumekaa nikajipendekeza tukaongea tu vizuri, nilipoomba namba akanitosa, bahati nzuri alitangulia yeye kwa daktari, mimi nikafuata baada yake, sasa bahati nzuri kwenye form zile kuna mahali pa kujaza namba, nikaview ile namba nikaiweka kichwani, nimetoka tu nikaisave.

Kesho yake nampigia kumuuliza anaendeleaje nikaulizwa hilo swali maana anakumbuka hakunipa, nikamweleza process yote ilivyokuwa hakukubali, ilibidi arudi hospital kumuuliza daktari kama alinipa namba, daktari akamwambia hakuna kitu kama hicho, thanks God, ile process nilivyoielezea ndo iliyoonesha kweli nilikuwa na nia ya dhati.

Ulifanikiwa Kumto... au uliishia kuchukua namba
 
Asilimia 89 ya wanaume wanochukua namba huishiwa kuchunwa bila kuona ndani.
 
True caller inatoa kila namba ukiandika jina la mhusika isipokuwa tu kama namba hiyo haijasajiliwa weka jina lako nikutumie namba yako
 
Kama unatumia mtandao kuweka data zako kama vile CV n.k. ambazo zikuelezea wasifu wako, ni rahisi watu kuzipata kwa kusearch tu!!! Kama unakwenda kwenye warsa (workshop nk) halafu ukajaza namba zako, hao organizers watazitunza kwenye mtandao na mtu mwingine anaweza zipata huko!!
Lol, umenikumbusha a guy aliyepata nr yangu kwenye workshop. Alikuwa mmoja wa facilitators.
 
Nimetoka kuulizwa Hilo swali sasa hivi, Ila imebidi nitafute shida genuine ambayo iko mbali na tongozo baadae Ndio nimeanza mdogo Mdogo, hopefully weekend haitaisha kapa
 
Back
Top Bottom