mjoli wa kweli
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 630
- 385
sijaamini kabisa ndo maana nikaulizaHiyo nahisi kuna mtu ameipost hivi ni mimi kweli hapo.
ulimuamini tena? na nini kiliendelea baada ya hapo.Kuna mmoja nilimuuliza akanijibu ameokota karatasi imeandikwa namba yangu
Hata mimi nilivyosoma mara ya pili sijaamini kabisa.sijaamini kabisa ndo maana nikauliza
inaelekea kuna mkono wa mtu hapo kwenye password yako
tutafanya hiyo aisee ile mida maana sio kwa kunishtua hukuHata mimi nilivyosoma mara ya pili sijaamini kabisa.
Hebu nisaidie ku-change hizi password aiseeh
Niliona kaniongopeaulimuamini tena? na nini kiliendelea baada ya hapo.
Mkuu hayo hayatakaa yaishe mkuu, na hilo ni swali gumu sana kujibu.
Siku moja nilikutana na dada mmoja mzuri sana Hospital, tumekaa nikajipendekeza tukaongea tu vizuri, nilipoomba namba akanitosa, bahati nzuri alitangulia yeye kwa daktari, mimi nikafuata baada yake, sasa bahati nzuri kwenye form zile kuna mahali pa kujaza namba, nikaview ile namba nikaiweka kichwani, nimetoka tu nikaisave.
Kesho yake nampigia kumuuliza anaendeleaje nikaulizwa hilo swali maana anakumbuka hakunipa, nikamweleza process yote ilivyokuwa hakukubali, ilibidi arudi hospital kumuuliza daktari kama alinipa namba, daktari akamwambia hakuna kitu kama hicho, thanks God, ile process nilivyoielezea ndo iliyoonesha kweli nilikuwa na nia ya dhati.
Hilo swali ni nje ya mada mkuu.Ulifanikiwa Kumto... au uliishia kuchukua namba
Hilo swali ni nje ya mada mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23]MIMI IKIFIKIA HATUA HIYO NAJUA NISHAPATA GOMA
We ndo MWANAUME saHuwa sitongozi namba,natongoza manzi uso kwa uso.
[emoji23]Kuna mmoja nilimuuliza akanijibu ameokota karatasi imeandikwa namba yangu
HahahahaMi nawaambiaga kanipa mama yako nilienda kwenu kukuuulizia.
Lol, umenikumbusha a guy aliyepata nr yangu kwenye workshop. Alikuwa mmoja wa facilitators.Kama unatumia mtandao kuweka data zako kama vile CV n.k. ambazo zikuelezea wasifu wako, ni rahisi watu kuzipata kwa kusearch tu!!! Kama unakwenda kwenye warsa (workshop nk) halafu ukajaza namba zako, hao organizers watazitunza kwenye mtandao na mtu mwingine anaweza zipata huko!!