Namba yangu umepata wapi?

Kuna kamoja nilikaambia "nimeitoa kwenye orodha kuu ya TCRA" kakauliza umewezaje? Nikakajibu .....ukishajua jina tu mengine unajiongeza . kakaishiwa pozi.. In short jumuapproach dem bongo labda awe hakutaki ila ni wepeesi mno hasa wale wa mijini. Wa vijijini baadhi ni washamba kwelikweli. Japokuwa nao wengi ukitumia ujanja utawamaliza kwa ushamba wao.
 
Jibu jepesi ni kusema tu ukweli ulikopata namba, sema wadada ukiwaambia ukweli hapo unakuwa umepiga hatua tatu nyuma
 
Eeeh baada ya kujua kuwa ulikua na nia ya dhati kilichofuata?

Mkuu hiyo ni next level, hapa swali ilikuwa ni kujieleza namba ulikoitoa.

Kuna times kibao nachemka na kuamua kujilipua. Ila ni swali gumu sana.
 
Mambo za mwanaume kuomba namba ziliisha karne ya 19.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…