Namba za help desk Sekretarieti ya Ajira hazifanyi kazi

Namba za help desk Sekretarieti ya Ajira hazifanyi kazi

Shangani

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
761
Reaction score
1,076
Namba za Help Desk +255735398259/+255784398259

Malalamiko ++255736005511/ 255679398259

Ijulikane kuwa hizi namba hazipo au kama mtu ana malalamiko afike hapo Dodoma kuliko kuweka namba ambazo hazipo na hazifanyi kazi.
 
Namba za Help Desk +255735398259/+255784398259
Malalamiko ++255736005511/ 255679398259
Ijulikane kuwa hizi namba hazipo au kama mtu ana malalamiko afike hapo Dodoma kuliko kuweka namba ambazo hazipo na hazifanyi kazi.
Kabisa wasenge hawa wanacheza akili zetu ******zao
 
Habarini za kazi wapendwa.

Ujumbe kwa watu wa Sekretarieti ya Ajira kama hamtaki kutoa msaada kwa waombaji wa kazi inatakiwa mfute namba za huduma mlizoweka kwenye mfumo wenu maana mmekua kero simu hazipatikani na hata zikipatikana hampokei yani mnakera sana kwanza mfumo wenu hauna sehemu ya kufuta cheti iwapo mtu kaweka cheti kimakosa na hata akiwapigia mtoe msaada simu hazipatikani sasa kazi yenu ni nini mshakua majipu wakubwa mnaboa.
 
Pole sana.

Wenye koneksheni mambo yanaenda vyema tu. Mchawi koneksheni tu
 
Habarini za kazi wapendwa.

Ujumbe kwa watu wa Sekretarieti ya Ajira kama hamtaki kutoa msaada kwa waombaji wa kazi inatakiwa mfute namba za huduma mlizoweka kwenye mfumo wenu maana mmekua kero simu hazipatikani na hata zikipatikana hampokei yani mnakera sana kwanza mfumo wenu hauna sehemu ya kufuta cheti iwapo mtu kaweka cheti kimakosa na hata akiwapigia mtoe msaada simu hazipatikani sasa kazi yenu ni nini mshakua majipu wakubwa mnaboa.
Yess ni jipu mno, yaani ukikosea wanakuambia eti tuma ombi lako kwa katibu wa secretariat, na yeye unakuta hata hajibu. Ila ukweli wana matatizo makubwa
 
Namba za Help Desk +255735398259/+255784398259

Malalamiko ++255736005511/ 255679398259

Ijulikane kuwa hizi namba hazipo au kama mtu ana malalamiko afike hapo Dodoma kuliko kuweka namba ambazo hazipo na hazifanyi kazi.
Nashukuru mketa huu uzi nimepiga namba mojawapo hapo kwakweli nimepewa ushirikiano mzuri na shida iliyokuwa inanikabili imetatuliwa
 
Nashukuru mketa huu uzi nimepiga namba mojawapo hapo kwakweli nimepewa ushirikiano mzuri na shida iliyokuwa inanikabili imetatuliwa
Umeokota dodo chini ya Mwembe, hongera
 
Back
Top Bottom