Namba za kupiga na kutambua kama Simu yako imehakiwa au inafuatiliwa, kuibiwa n.k

Namba za kupiga na kutambua kama Simu yako imehakiwa au inafuatiliwa, kuibiwa n.k

View attachment 2986100
Umewahi kukutana janga la simu yako kufuatiliwa au kuingiliwa mawasiliano yako bila wewe kujua? Basi sasa unaweza kufuta ufuatiliaji wowote uliofanywa kwenye simu yako kwa kujua au kutojua.

Pia kama umeibiwa simu yako unaweza kujua taarifa zake kwa urahisi zaidi.
  1. Kujua namba ya utambuzi wa Simu yako (IMEI): *#06#
  2. Kujua kama uliyempigia ameona Missed Calls zako na amejikausha *#61#
  3. Kujua kama Simu unazopiga au kupigiwa zinasikilizwa na mtu mwingine: *#62#
  4. Kujua namba ya Simu inayosikiliza Simu zako: *#67#
  5. Kujua taarifa zako zinazosikilizwa: *#004#
  6. Kufuta mawasiliano yako yanaingiliwa na mtu yeyote: ##002#
  7. Kujua kama namba yako imeingiliwa: *#21#
  8. Kujua kama umeingiliwa kivyovyote (Kwa Android): ##4636## au ##197328640##
  9. Kujua kama umeingiliwa kivyovyote (Kwa iPhone): 3001#12345#
  10. Kufuatilia Simu yako iliyoibiwa au kupotea (Kwa Android): ##1472365##
  11. Kuangalia Firmware ya Camera (Kwa Android): ##34971539#*#
  12. Kujua anuani ya MAC (Kwa Android): ##232338##
  13. Kuirejesha Simu yako katika Simu hatua ya awali ya kuundwa (Factory Reset) (Kwa Android): ##7780##
  14. Kufuta kila kitu kwenyd Simu (Kwa Android): *2767*3855#
Elimu muruaa
 
Mleta mada wajibu waliouliza basi tena fanya halaka bwana umesikia we dogo.
 
+255128
Ni code gani hii nimeikuta kwenye vioce call, video, nk
Kutokana na Namba iliyojitokeza baada ya kufanya 'confirmatory test' ili kujiridhisha kwamba mawasiliano yako ya simu yako aidha yanafuatiliwa au lah, matokeo haya yanaonyesha kuwa ni dhahiri kwamba wewe upo under Surveillances ya "Watu Wasiojulikana." Namba hii +255128 iliyojitokeza kwenye utafiti huo inaonyesha wazi kuwa ni "Namba ya simu yenye utata mkubwa sana tena Namba yenye mashaka yote kabisa kwa asilimia zaidi ya 95 ( extremely malicious and suspicious phone number). Namba hiyo ya simu ukiondoa country code number utaona kwamba inasomeka kwa usahihi zaidi katika mtiririko huu, yaani: 128. Swali: Je, ni akina nani hapa Tanzania wanamiliki Namba hii ya simu?? Je, Namba za simu ambazo zipo katika mfumo Kama huu huwa zimilikiwa kiholela na watu binafsi?
Hebu jaribu kutazama Namba za simu ambazo zipo kwenye kiambatisho cha picha hapa chini, kisha linganisha na Namba hiyo (i.e 128) na mwisho kabisa fanya ulinganisho wa ujumla dhidi ya mifumo ya kawaida ya kimataifa ya uanishaji wa Namba za simu kimataifa (Telephone Numbering Plan) uliopo chini ya taasisi ya kimataifa ya uanishaji wa Namba za simu (International Telecommunication Union, ITU ). Utagundua kwamba Namba hii 128 iliyojitokeza inatumia mfumo wa 'Short Code' katika kuainishwa kwake, mfumo ambao siyo wa kawaida hata kidogo, kwa sababu Namba za simu za namna hiyo ni maalumu Sana ambazo zinatolewa kwa mmiliki/wamiliki kwa sababu maalumu tu na kwa matumizi maalumu tu. Bad enough, hata TCRA wameficha utambulisho wa mmiliki wa Namba hiyo ya simu ya 128.
 

Attachments

  • Screenshot_20240930-102811.png
    Screenshot_20240930-102811.png
    135.4 KB · Views: 33
Kutokana na Namba iliyojitokeza baada ya kufanya 'confirmatory test' ili kujiridhisha kwamba mawasiliano yako ya simu yako aidha yanafuatiliwa au lah, matokeo haya yanaonyesha kuwa ni dhahiri kwamba wewe upo under Surveillances ya "Watu Wasiojulikana." Namba hii +255128 iliyojitokeza kwenye utafiti huo inaonyesha wazi kuwa ni "Namba ya simu yenye utata mkubwa sana tena Namba yenye mashaka yote kabisa kwa asilimia zaidi ya 95 ( extremely malicious and suspicious phone number). Namba hiyo ya simu ukiondoa country code number utaona kwamba inasomeka kwa usahihi zaidi katika mtiririko huu, yaani: 128. Swali: Je, ni akina nani hapa Tanzania wanamiliki Namba hii ya simu?? Je, Namba za simu ambazo zipo katika mfumo Kama huu huwa zimilikiwa kiholela na watu binafsi?
Hebu karibu kutazama Namba za simu ambazo zipo kwenye kiambatisho cha picha hapa chini, kisha linganisha na Namba hiyo (i.e 128) na mwisho kabisa fanya ulinganisho wa ujumla dhidi ya mifumo ya kawaida ya kimataifa ya uanishaji wa Namba za simu kimataifa (Telephone Numbering Plan) uliopo chini ya taasisi ya kimataifa ya uanishaji wa Namba za simu (International Telecommunication Union, ITU ). Utagundua kwamba Namba hii 121 iliyojitokeza inatumia mfumo wa 'Short Code' katika kuainishwa kwake, mfumo ambao siyo wa kawaida hata kidogo, kwa sababu Namba za simu za namna hiyo ni maalumu Sana ambazo zinatolewa kwa mmiliki/wamiliki kwa sababu maalumu tu na kwa matumizi maalumu. Bad enough, hata TCRA wameficha utambulisho wa mmiliki wa Namba hiyo ya simu ya 128.
ww ni muongo.Hichi ulichosema hhapa ni dhahania tu.Kama huna uhakika na kitu subiri wajuvi wakufahamishe.
 
ww ni muongo.Hichi ulichosema hhapa ni dhahania tu.Kama huna uhakika na kitu subiri wajuvi wakufahamishe.
Thibitisha huo uwongo uliobaini kwenye comment yangu hiyo.

Hata kichaa akiwa katika hadhara ya watu akiamua kukaa kimya huonekana ni mtu mwenye busara na hekima. Watu watamjua kuwa ni kichaa pale tu atakapoanza kubwabwaja maneno yake ya hovyo.
 
Nahisi ni kwa ajili ya forwading zile ukiwa hupatikani baadae unapata ujumbe
Je, mmiliki wa Namba hiyo ni nani??
Kwa nini utambulsho wa mmiliki wa Namba hii 121 haujawekwa wazi na TCRA?
Tazama mtiririko wa Namba za simu zifuatazo hapa chini kwenye picha iliyoambatishwa, kisha bashiri (predict) namba za simu ambazo zinaweza zikawa ndio zinazofuatia baada ya Namba 119. Kisha Jiulize, Je, ni kwa nini Namba za simu zinazofuatia baada ya Namba 119 zimekuwa hazipo kwenye huo mtiririko na badala yake orodha hiyo imeibukia tena kuanzia Namba za juu kabisa ya 190?
 

Attachments

  • Screenshot_20240930-102811.png
    Screenshot_20240930-102811.png
    135.4 KB · Views: 30
Nimekuta hii namba baada ya kupiga *#62#
Voice. 15779
Sync. 15779
Sijaekewa pia
 
Unapo bonyeza *#62# kwenye simu yako na kupata ujumbe unaosema "voice +25521, fax +25521," hii ina maana kwamba simu zako zinazokosa kupokelewa (missed calls) zimeelekezwa (forwarded) kwenda namba hiyo (+25521) kwa huduma ya sauti (voice) na faksi (fax).

Hapa kuna uwezekano kadhaa:
1. Sauti (Voice Call Forwarding): Simu zako za kawaida za sauti ambazo hazijibiwi zimeelekezwa kwa namba ya +25521.
2. Faksi (Fax Forwarding): Simu zinazotuma faksi pia zimeelekezwa kwa namba hiyo hiyo.

+25521 inaweza kuwa namba ya default inayowekwa na mtoa huduma wako wa simu kwa huduma ya ujumbe wa sauti (voicemail). Unaweza kuwasiliana na mtoa huduma wako kwa maelezo zaidi au kubadilisha mipangilio ya uelekezaji wa simu ikiwa unahitaji.

Je, ungependa kubadilisha hali hiyo? Naweza kuelezea jinsi ya kuifanya.
 
View attachment 2986100
Umewahi kukutana janga la simu yako kufuatiliwa au kuingiliwa mawasiliano yako bila wewe kujua? Basi sasa unaweza kufuta ufuatiliaji wowote uliofanywa kwenye simu yako kwa kujua au kutojua.

Pia kama umeibiwa simu yako unaweza kujua taarifa zake kwa urahisi zaidi.
  1. Kujua namba ya utambuzi wa Simu yako (IMEI): *#06#
  2. Kujua kama uliyempigia ameona Missed Calls zako na amejikausha *#61#
  3. Kujua kama Simu unazopiga au kupigiwa zinasikilizwa na mtu mwingine: *#62#
  4. Kujua namba ya Simu inayosikiliza Simu zako: *#67#
  5. Kujua taarifa zako zinazosikilizwa: *#004#
  6. Kufuta mawasiliano yako yanaingiliwa na mtu yeyote: ##002#
  7. Kujua kama namba yako imeingiliwa: *#21#
  8. Kujua kama umeingiliwa kivyovyote (Kwa Android): ##4636## au ##197328640##
  9. Kujua kama umeingiliwa kivyovyote (Kwa iPhone): 3001#12345#
  10. Kufuatilia Simu yako iliyoibiwa au kupotea (Kwa Android): ##1472365##
  11. Kuangalia Firmware ya Camera (Kwa Android): ##34971539#*#
  12. Kujua anuani ya MAC (Kwa Android): ##232338##
  13. Kuirejesha Simu yako katika Simu hatua ya awali ya kuundwa (Factory Reset) (Kwa Android): ##7780##
  14. Kufuta kila kitu kwenyd Simu (Kwa Android): *2767*3855#
Mkuu,naomba mawasiliano yako
 
Back
Top Bottom