Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu ya mtoto wa mjini central region DodomaNyingi ya hizo namba ukipiga hazipatikani, zikipatikana zipo busy, zisipokuwa busy hazipokelewi, zikipokelewa eidha msielewane au uzimsikie anayezungumza naye.
Niliwahi kumwambia kuna watu wanaiba mafuta ya wajenzi wa reli ya mwendokasi, hebu tuma askari waje wawakamate, alichonijibu sikuendelea kumsikilizaJaribu ya mtoto wa mjini central region Dodoma
Tena watu kama hao wanakuwaga romantic vibaya sana,wanajali pia wana ile hali ya uanaume ndani yao!!Mwenyewe mtoto wa kihuni ndio atapokea.
Tuache hayo. Hivi huyu mkuu akifika kwa mchepuko wake huwa wanafanyaga romance?
Alikujibu nini mkuu?Niliwahi kumwambia kuna watu wanaiba mafuta ya wajenzi wa reli ya mwendokasi, hebu tuma askari waje wawakamate, alichonijibu sikuendelea kumsikiliza
[emoji1784][emoji51][emoji2959]Mwenyewe mtoto wa kihuni ndio atapokea.
Tuache hayo. Hivi huyu mkuu akifika kwa mchepuko wake huwa wanafanyaga romance?
Inawezekana kuna kampuni ya simu imejitoleaNamba zote ni za mtandao mmoja wa simu.
"Sawa nimesikia, ila tatizo wanayajua magari ya polisi wakiyaona wanakimbia na kuyaacha mafuta na kuwakamata ni vigumu sana"Alikujibu nini mkuu?
Duuuh,una haki ya kutoendelea kumsikiliza"Sawa nimesikia, ila tatizo wanayajua magari ya polisi wakiyaona wanakimbia na kuyaacha mafuta na kuwakamata ni vigumu sana"
Kama wanakimbia hapo polisi wanafanya kazi ya kuokoa Mali za raia kwahiyo kupiga simu kwakwo kunakuwa na faida"Sawa nimesikia, ila tatizo wanayajua magari ya polisi wakiyaona wanakimbia na kuyaacha mafuta na kuwakamata ni vigumu sana"
🤣🤣hapo polisi wanafanya kazi ya kuokoa Mali za raia
Hiyo haina coverage kubwaSioni ya TTCL (073_) Hata moja. Au JPM alivyoenda zake nao wamerudi kwenye makampuni ya hisa zao?
Kama wanakimbia hapo polisi wanafanya kazi ya kuokoa Mali za raia kwahiyo kupiga simu kwakwo kunakuwa na faida"Sawa nimesikia, ila tatizo wanayajua magari ya polisi wakiyaona wanakimbia na kuyaacha mafuta na kuwakamata ni vigumu sana"
Polisi kuokoa Mali ya raia ni wajibu wao Mara nyingi polisi wanatimiza hilo,tatizo la polisi wachache kuharibu sifa hiyo kama wapo Hivyo haliwezi geuza twasira ya jeshi hili kuifanya kazi hiyo mkuu🤣🤣
Mkuu unawajua polisi wetu!!! wanaokoa mali ya raia!!!?
Subiri wadau waje
Mkuu subiri watakujibu, kuna wahanga wengi wa hilo humuhumu usiende mbali tulia hapohapoKama wanakimbia hapo polisi wanafanya kazi ya kuokoa Mali za raia kwahiyo kupiga simu kwakwo kunakuwa na faida
Polisi kuokoa Mali ya raia ni wajibu wao Mara nyingi polisi wanatimiza hilo,tatizo la polisi wachache kuharibu sifa hiyo kama wapo Hivyo haliwezi geuza twasira ya jeshi hili kuifanya kazi hiyo mkuu
Polisi na wezi ni kitu kimoja. Ukiona mwizi kakamatwa ujue hakupeleka mgao."Sawa nimesikia, ila tatizo wanayajua magari ya polisi wakiyaona wanakimbia na kuyaacha mafuta na kuwakamata ni vigumu sana"