Kwani wewe ni S.C au P.C?Kama ni school candidate muulize mwalimu wako wa taaluma,binafsi kwetu tumeshapewa na ndio hizo tumetumia kwenye pre-national examination
Kwani utaribu ukoje? Namba zinatolewaje? Ninachojua kama ni school Candidate namba zainatolewa shuleni kwako na wale wa PC wanapata kupitia anwani zao au kwenye vitu walivyojiandikishia