Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?

Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?

Wickama

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2009
Posts
1,466
Reaction score
1,196
Hivi karibuni kumeibuka maswali mengi juu ya idadi ya Wayahudi waliopoteza chini ya Adolf Hitler. Utata huu unachangiwa na report za sensa za idadi ya Wayahudi duniani kabla na baada ya vita kuu ya Pili pamoja na report za Red Cross juu ya waliopoteza maisha wakiwa chini ya Wajerumani wakati wa vita. Idadi ya watu duniani ya kupitia World Almanac katika kipindi husika inasomeka kama ifuatavyo;


World Almanac 1933

jews1933.jpg





World Almanac 1948

jews1948.jpg



source: Before and after the "Holocaust": Jewish population numbers in 1933 and 1948

Hii ripoti haionyeshi kama wayahudi walipungua baada ya WW2. In fact wameongezeka. Yaani

15, 753, 638 mwaka 1948. Yaani Baada ya vita
15, 315, 359 mwaka 1933. Yaani Kabla ya Vita

Kwa upande mwingine, Ripoti ya Red Cross inataja watu waliopoteza maisha chini ya waNazi hawazidi laki tatu Exposing the Holocaust™ Hoax Archive - A HolyHoax Museum: Fun Facts - The Holohoax for Dummies

The International Red Cross reported that less than 300,000 internees of all nationalities in the German camps died of all causes, including old age. And of these, barely more than half were Jews. Most of these died in several typhoid epidemics caused by wartime conditions, which claimed many lives

Utata huu wa namba umeimarisha sana Hoja za wale wanaohisi mchezo mchafu katika idadi ya waliouliwa. kuwa haingewezekana Kina Hitler Kuua wayahudi Milioni sita kwa vile hata ulaya iliyoikaliwa na Nazis haikuwa na idadi hiyo ya Wayahudi Before and after the "Holocaust": Jewish population numbers in 1933 and 1948 Pia hakuna pengo la Milioni 6 kwenye report za hizo Sensa za World Almanac? Mateso kwa wayahudi na wengineo ni jambo lenye umuhimu kihistoria. Lakini kwa hii vurumai Swali linabaki, UKWELI UKO WAPI? Yabidi kujiuliza; ADOLF HITLER ALITOA WAPI WAYAHUDI MILIONI 6? Mbona hesabu zinakataa?

Changia mawazo yako
 
Rais mstaafu wa Iran Ahmedinajad alishawahi kuitisha mkutano ulioitwa "Review of the Holocaust: Global Vision," aliwakusanya wana historia na wasomi kutoka nchi mbali mbali duniani kuhusu suala hili la mauaji ya kimbari ya Wayahudi.

Ikaonekana kuwa haya mauaji ya Wayahudi ni uongo wa mataifa makubwa kushinikiza kuanzishwa nchi mpya ya Israel huko Palestina.
 
Wayahudi si taifa ni kama vile kusema Wakristo au Waislam au Mabuddha au Wapagani.

Wametapakaa sehemu mbali mbali ulimwenguni, kwingine wako wengi, kwingine wako kidogo, kwingine hawapo kabisa.

Kwa mantiki hiyo Wayahudi hawana taifa, hawajawahi kuwa na taifa na hawana haki ya kuwa na taifa?

Kama jibu ni ndio, kwa nini wapo Israel na wanatambulika kuwa hiyo ndio nchi yao...?
 
Kwa mantiki hiyo Wayahudi hawana taifa, hawajawahi kuwa na taifa na hawana haki ya kuwa na taifa?

Kama jibu ni ndio, kwa nini wapo Israel na wanatambulika kuwa hiyo ndio nchi yao...?

Siyo mantiki, huo ndiyo ukweli. Ukisema Wayahudi wana taifa ni kama kusema Wakristo wana taifa lao, au Waislaam wana taifa lao au wapagani wana taifa lao.

Leo Tanzania wanasema Serikali haina dini, Jee ina maana sisi ni taifa la kipagani? La, mimi si mpagani, sijui wewe?
 
Kwahiyo serikali Ina Dini? Dini gani hiyo? Dah mambo mengine naona kama kujitoa fahamu. Halafu wayahudi sio dini ujue?!
 
Siyo mantiki, huo ndiyo ukweli. Ukisema Wayahudi wana taifa ni kama kusema Wakristo wana taifa lao, au Waislaam wana taifa lao au wapagani wana taifa lao.

Labda niandike kwa umombo...

What's meaning of the word "Jew"?

....and what's Judism?

Naomba majibu yako yazingatie imani na utaifa...
 
Labda niandike kwa umombo...

What's meaning of the word "Jew"?

....and what's Judism?

Naomba majibu yako yazingatie imani na utaifa...

Good questions, to start with, you have to understand that if you come across a Yemeni "Jew" today and ask him "are you a "Jew"? he might never understand you, Why? Simply because the English have a sickness of changing names, the Yemeni "Jew" or even any "Jew" who never speaks English might not know what you are talking about, similarly to the name "J"esus" or "J"ehovah, "J"ericho. Did you notice the "J"s ? All these names in Hebrew start with Y from alphabet "Yod" in Hebrew.

Jesus in Hebrew is not Jesus, its Yeshu(a), Jew in Hebrew is Yehudim (note; the "im" is plural of respect in Hebrew), they are Yehudim and Yeshua respectively. Ask the English, who gave them permission to change other people names? I am baffled.

Judaism is simply one of the oldest monotheistic religions and was founded over 3500 years ago in the Middle East or rather Near East. Ultimately from the Hebrew Yehudim as explained above.

Hope that answers your questions.
 
Appreciated all your correspondence. u historians come up ur conclusion which make sense to all of us in this building
 
Dunia inaendeshwa kwa propaganda za ajabu sana na viini macho pia. Hayo yote yanafanyika kuwafanya walioko juu ku-maintain ukuu wao, na kwa wanyonge kuendelea kuwabeba hao wakuu mabegani mwetu.
Katika hili, ni vyema kama tungepata Rate ya Population Growth ya wayahudi before WW2, tukaitumia kutathimini wangeweza kufikia 1948. Ila kwa takwimu za hapo juu, nadhani si rahisi kwa watu zaidi ya milioni 15 mwaka 1933, baada ya miaka 15 wawe wameongezeka watu laki 4, kazi sana!
Anaita sasa!
 
Kwahiyo serikali Ina Dini? Dini gani hiyo? Dah mambo mengine naona kama kujitoa fahamu. Halafu wayahudi sio dini ujue?!

Kanisome vizuri kuhusu Serikali, usibadili maneno yangu, Wayahudi si dini ni nini? Unajuwa kuna wenzako humu humu JF ni Wakristo na wanasema Ukristo si dini.

Kama wewe unasema Uyahudi si dini mimi sina haja ya kukubishia kwani ukisoma post yangu hapo juu nilipowaelezea Wayahudi kuwa si taifa nimewaweka mpaka wapagani, Jee wewe unaamini kuwa wapagani ni dini? Fikiri.
 
Back
Top Bottom