Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mwanzo unaonesha kuwa hauna uhakika na ukiongeacho.
Pata darsa Dogo:
Wayahudi ni kama kusema Wakristo, Wakristo wanamfata Chrit. Wayahudi wanamfata Yehud.
Ki Hebrew na Kiarabu ni semitic languages, expression zake zinafana na kwa kuwa Kiswahili chetu kina asilimia kubwa ya Kiarabu nikufahamisha utanielwa (nadhani).
Kusema nchi yao ni Judea si sahihi. Leo hii nikisema Usukumani ni nchi ya Wasukuma, ntakuwa nafanya makosa, Wasukuma nchi yao ni Tanzania lakini wanapatikana sana Shinyanga na Mwanza na ndiyo maana huko walipo wengi panaitwa Usukumani. Lakini Usukumani si nchi ni sawa na Uyahudi, si nchi.
That is simply put, sitaki kwenda deep sana kwani najuwa jinsi hauko focused. Halafu pitia post yangu hapo juu namba 37 nimeelezea hili hili kivingine kiduchu.
Yes ni dini!
Naam ni dini.
No, ni kabila!
wayahudi walidanganya ili kupata sympathy UN
Kanisome vizuri kuhusu Serikali, usibadili maneno yangu, Wayahudi si dini ni nini? Unajuwa kuna wenzako humu humu JF ni Wakristo na wanasema Ukristo si dini.
Kama wewe unasema Uyahudi si dini mimi sina haja ya kukubishia kwani ukisoma post yangu hapo juu nilipowaelezea Wayahudi kuwa si taifa nimewaweka mpaka wapagani, Jee wewe unaamini kuwa wapagani ni dini? Fikiri.
Mhh mil6 c kama wakazi Wa Zanzibar wote. hapa kweli kuna ulakini
Kwahiyo serikali Ina Dini? Dini gani hiyo? Dah mambo mengine naona kama kujitoa fahamu. Halafu wayahudi sio dini ujue?!
Mhh mil6 c kama wakazi Wa Zanzibar wote.hapa kweli kuna ulakini
ni kwamba uyahudi ni imani sio race,ama taifa.
wala hakuna kabila la kiyahudi
No, ni kabila!
Umeamua tu kudamgamya au ni kweli hujui?
Nini tofauti kati ya uyahudi na uislaeli?
Nini tofauti kati ya uyahudi na uislaeli?
ndo ukweli,zile kabila 12 za israel,actual ni watoto 12 wa yakobo na hakuna muujiza ulitokea eti wakawa wanaongea kabila 12 tofauti.
kwahiyo ilifaa zaidi kusema koo12 za israel na si makabila 12,kwani hayakuwahi kuwepo makabila 12 Kwa maana hasa ya makabila