Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?


Nimekusoma mkuu,

Kwa maana hii ni kwamba hawa Wayahudi wa kiimani hawawezi kuhusika na ahadi ya Waisraeli na Wayahudi Waisraeli wa damu sio?
 
Nimekusoma mkuu,

Kwa maana hii ni kwamba hawa Wayahudi wa kiimani hawawezi kuhusika na ahadi ya Waisraeli na Wayahudi Waisraeli wa damu sio?

Yes, hawakwenda utumwani kwa MELI, hawakushindwa kurudi toka walikopotelea, hawadhalilishwi, wamesheheni mali, yaani sio maskini, nchi yao haiporwi mali, hawapati magonjwa ya kutisha (HIV, Ebola, ukoma Upofu ) wala hawajajaza magereza anywhere
 
Population ya Zanzibar ni around 1.7milion people.

astaghaffilulah.... kaka kwa mujibu wa SENSA YA 2012 ZANZIBAR ilkuwa na watu Mil 1.3 mpaka leo wanaweza fika Mil 1.4-5. wapo wachache tu nadhan hata ubungo nzima ina watu wengi zaidi ya Zanzibar.
 
Tunapozungumzia holocaust tunazungumzia nini au kipindi gani hasa?
-hapa tunazungumzia kipindi toka januari 30 mwaka 1933 wakati hitler alipoingia madarakani (kansela wa ujerumani mpaka Mei 8 1945 mwisho wa vita vya ulaya. "
waliuawa wayahudi wangapi?
-Kiukweli ni ngumu kuwa na idadi kama ni kama ilivyokuwa kwenye mauaji ya Kimbari huko Rwanda. sana sana inakadiliwa kuwa waliuawa zaidi ya Wayahudi 5,800,000 na hiyo million sita ni idadi ya kukadilia ambayo imekubalika.

sasa kama mna maswali waswasi leteni hapa hoja tujadiliane.mimi najua mambo mengi kuhusu wayahudi. nimesoma kwao na nimeishi nao sana.
 

Karibu utusaidie kutoa hiki 'kiwingu' kwa huo uzoefu wako Mkuu.
Lakini kama umeusoma vizuri huu uzi, nadhani utakua umekutana na maswali mbalimbali yanayouliza ukweli wa matukio yanayohusiana na holocaust, kama vile idadi ya 'Wayahudi' waliouawa kipindi hicho, ukweli kuhusu gas chambers n.k na pia utakua umekutana na hoja mbadala, findings na video clips zinazopinga 'the official story' kuhusiana na holocaust.
 

Mkuu, la awali la wewe kutusaidia hebu bakia scientific na objective tutolee makosa hii paper



Auschwitz - Myths & Facts
FaizaFoxy, Eiyer, Mourinho, crabat,
 


Mkuu, tunakusubiri (refer posting #269 )
 
FaizaFoxy Yamkini una maarifa fulani sahihi lakin pia ukawa unayapindisha kwa makusud

Nakubaliana na wewe juu ya heruf J kuwekwa na English men katika majina mengi ya kiebrania yenye Y. its true Jesus ni Yeshua Ameshia in Hebrews

Lakin napingana nawe vikali kwamba Jew ni just a religion,no a very big no.
sote tunafahama makabila 12 yaliyokuwa yanaunda taifa la israel, hao watu wote as taifa walikuwa wanamwabudu Mungu mmoja aliewatoa utumwan Misri. Yehovah so Taifa likawa na dini pia.

Kilichotokea ni kuwa ufalme ulikuja kugawanyika na makabila mengine 11 yakaasi kutoka kuongozwa na kabila la Yuda ( ambko ndipo neno Jew linapotoka)

Kuna mengi yametokea lakin nachotaka kupinga kwenye andishi lako ni kuwa si kweli kuwa jew is just a religion as ukristo au uislaam. Wewe hapo ni muislaam lakini tukisema tuchukue vinasaba vya kigenetic vyako hatuwez kuona damu ya kiislaam ,sababu hakuna kitu kama damu ya kiislaam au damu ya kikristo ila kuna damu ya kichaga,ya kiarabu ya kihehe etc etc,lakin kwa wayahud kuna damu ya kiyahud, its a race ni kama vile unavyosema wahindi.

sasa kulinganisha Judism na Christanity au islaam na kusema ni sawa kabisa ni kosa.

Ndiyo kuna dini lakin pia kuna utaifa na race.
 
Last edited by a moderator:

Unaongelea na kuleta justification ya miaka 2000 kabla ya Yesu kutaka ku justify mambo ya leo hii? Tena hata tukichukuwa siku hizo still inakuwa si Kabila bali ni koo. Fikiri.

Leo umchukuwe Myahudi wa Ulaya macho blue au kijani, Rangi kama ile mijusi myeupe ya majumbani, halafu umchukuwe Myahudi wa Yemen, uende ukachukuwe Myahudi wa Ethiopia, ukamchukuwa na Myahudi wa Iran na wa Morocco halafu useme hao wote ni kabila moja? Fikiri.

Pitia post juu huko, nimekuwekea picha za Wayahudi tofauti. Uyahudi ni dini si kabila, linaweza kuwa Taifa (umma t) lakini si kabila, kama ilivyo umma t'lIslam, ni taifa la Kiislam lililo tapakaa dunia nzima na lina makabila tofauti, wa rangi tofauti, lakini wote wanafata mila za Kiislam, mila za Ibrahim...
 
Mama yangu ni mbongo wa bush hukooo! nasikia baba yangu ni myahudi wa Albania. Israel niliishi kwa kazi maalumu just 1 month nikageuza bongo baada ya kumaliza kilichonipeleka. Pale ISRAEL nimekaa karibu na Gaza for two weeks then week 2 nikazimalizia kwingine. Kwa kweli jamaa ni wabaguzi hasa kwetu wenye nasaba za kiafrika. Huko historia zinajichanganya sana. Kifupi tuendelee kusoma haya mahistoria tuuuu lakini dunia tutaiacha kama ilivyo. Mkubwa kummeza mdogo haitaisha kamwe, wengine tutabaki kulia lia tuu.
Mengine eti ndo najifunzia humu maana nilikulia bush haswaa!
 

Kuna Myahudi wa kiimani,yaani hii ni kama wewe leo uamue kuachana na dini yako halafu uwe na dini ya Kiyahudi,utakuwa Myahudi kama vile mtu yoyote avyoweza kuwa Mbudha wakati hata China hajafika

Kuna Myahudi wa damu kwa maana ya kuwa mingoni mwa kizazi cha Yuda,huyu hata akibadili imani yake na kuwa Mkristo bado atabaki kuwa Myahudi kwa maana ya kuwa kwenye kizazi cha Yuda!
 

Naomba nielezee kama wale wayahudi toka Ethiopia-Falasha nao wanapata dhahma hii ya ubaguzi na kwanini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…