muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Tangu Jana nina tatizo kubwa ambalo nahitaji msaada kwa NACTVET lakini namba zao zote zilizopo kwenye website yao hazipatikani.
Inamaana mimi nitumie nauli kuvuka mikoa kwa mikoa niende ofisini kuulizia kitu tu?
Na hapo nimejaribu hafi kwa njia ya email ila haijajibiwa.
Mkurugenzi wa NACTVET litizame hili, haya ndio yanasababisha ofisi za umma ziwe kero kwa wateja.
Inamaana mimi nitumie nauli kuvuka mikoa kwa mikoa niende ofisini kuulizia kitu tu?
Na hapo nimejaribu hafi kwa njia ya email ila haijajibiwa.
Mkurugenzi wa NACTVET litizame hili, haya ndio yanasababisha ofisi za umma ziwe kero kwa wateja.