Namdai mtu pesa na mahakamani tumefika lakini hukumu inachelewa

Namdai mtu pesa na mahakamani tumefika lakini hukumu inachelewa

TuntemekeSanga

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
1,346
Reaction score
862
Heshima yenu ndugu zangu humu ndani....

Mimi namdai mtu pesa yangu kwa muda mrefu, amekataa baadhi ya pesa nakukubali kias kidogo cha pesa kati ya zile nilizomkopesa.

Mchezo wenyewe nihuu, nilimuazima milioni tatu mwaka Jana akiwa na shida kubwa sana. Sasa alipotatua shida yake hiyo ndipo filigisu zikaanza. Kalenda sio kalenda, chenga sio chenga tangu November mwaka Jana.

Sasa nimeamua kumpeleka mahakamani mwezi wa sita mwaka huu baada ya uvumilivu kufikia mwisho.

Alivyo jeuri, mahakamani aliiambia namdai 2.1M(nilistaajabu mno). Kwamba eti iyo laki Tisa keshanipa wakati niuongo. Nyaraka zote ninazo na nimewasilisha.

Tuliamriwa kuleta mashahidi. Mimi nimeshamaliza hilo, shahidi alomsema yeye amekwishahama mjini kwetu hapa na hana mawasiliano naye wala hajui alipo, eti anaendelea kumtafuta.

Nduguzangu, just imagine tangu mwezi wa saba hadi Leo hii kesi inaahirishwa kisa shahidi wake hajapatikana. Na mambo yangu yameyumba siwezi kuwahadisia hapa.

Hivyo, naombeni msaada wenu jamani. Nimetafakari sana ndo nikakumbuka watu wengi huponea humu JamiiForum. Naombeni msaada wenu tafadhali, NIFANYEJE???
 
Duh! Sina uhakika na msaada humu. Labda ngoja nivumilie

Kiongozi mie nimeona tatizo kwenye ufunguaji wa kesi wewe ulitakiwa kumshitaki kwa kujipatia fedha kwa nuia ya udanganyifu ila kwa njia hio uliosrma ya kumkopesha na jalada linadema hivyo basi utasubiri sana
 
Heshima yenu ndugu zangu humu ndani....

Mimi namdai mtu pesa yangu kwa muda mrefu, amekataa baadhi ya pesa nakukubali kias kidogo cha pesa kati ya zile nilizomkopesa.

Mchezo wenyewe nihuu, nilimuazima milioni tatu mwaka Jana akiwa na shida kubwa sana. Sasa alipotatua shida yake hiyo ndipo filigisu zikaanza. Kalenda sio kalenda, chenga sio chenga tangu November mwaka Jana.

Sasa nimeamua kumpeleka mahakamani mwezi wa sita mwaka huu baada ya uvumilivu kufikia mwisho.

Alivyo jeuri, mahakamani aliiambia namdai 2.1M(nilistaajabu mno). Kwamba eti iyo laki Tisa keshanipa wakati niuongo. Nyaraka zote ninazo na nimewasilisha.

Tuliamriwa kuleta mashahidi. Mimi nimeshamaliza hilo, shahidi alomsema yeye amekwishahama mjini kwetu hapa na hana mawasiliano naye wala hajui alipo, eti anaendelea kumtafuta.

Nduguzangu, just imagine tangu mwezi wa saba hadi Leo hii kesi inaahirishwa kisa shahidi wake hajapatikana. Na mambo yangu yameyumba siwezi kuwahadisia hapa.

Hivyo, naombeni msaada wenu jamani. Nimetafakari sana ndo nikakumbuka watu wengi huponea humu JamiiForum. Naombeni msaada wenu tafadhali, NIFANYEJE???
Ushauri wangu ni kwamba kwa kuwa shauri limehairishwa zaidi ya mara tatu na bado mdeni wako haleti shahidi, iombe mahakama iendelee kwa sababu hakuna reasonable expectation ya huyo shahidi kuja kutoa ushahidi kama ulivosema.

Zaidi ni kwamba endapo utashinda kesi, hukumu itakupa nguvu ya kulipwa hata ikibidi kwa kukamata mali zake na kuuza

Pia deni linamfunga mtu pale ambapo anashindwa kukulipa na hana mali za kukamata(" Civil prisoner").
 
Mimi ni victim no. 2 lakini sababu sikuwa na shahidi nilizikwa kiasi kikubwa tu. Sikushtaki sababu nilitoa kwa roho nyeupe nikidhani nitarudishiwa. Tuntemeke kuanzia leo mwenye kuomba msaada aende Bank au Vikoba.
 
Ushauri wangu ni kwamba kwa kuwa shauri limehairishwa zaidi ya mara tatu na bado mdeni wako haleti shahidi, iombe mahakama iendelee kwa sababu hakuna reasonable expectation ya huyo shahidi kuja kutoa ushahidi kama ulivosema.

Zaidi ni kwamba endapo utashinda kesi, hukumu itakupa nguvu ya kulipwa hata ikibidi kwa kukamata mali zake na kuuza

Pia deni linamfunga mtu pale ambapo anashindwa kukulipa na hana mali za kukamata(" Civil prisoner").
Asante ndugu. Naanza kupata mwanga hapa
 
Mimi ni victim no. 2 lakini sababu sikuwa na shahidi nilizikwa kiasi kikubwa tu. Sikushtaki sababu nilitoa kwa roho nyeupe nikidhani nitarudishiwa. Tuntemeke kuanzia leo mwenye kuomba msaada aende Bank au Vikoba.
[emoji13] [emoji13]

Duh! Hakika. Maana tulikofika hakuna namna yan. Jamaa sikuamini kama tungefika kote huku. Amaa kweli nafuu kumfazili mbuzi.....
 
Heshima yenu ndugu zangu humu ndani....

Mimi namdai mtu pesa yangu kwa muda mrefu, amekataa baadhi ya pesa nakukubali kias kidogo cha pesa kati ya zile nilizomkopesa.

Mchezo wenyewe nihuu, nilimuazima milioni tatu mwaka Jana akiwa na shida kubwa sana. Sasa alipotatua shida yake hiyo ndipo filigisu zikaanza. Kalenda sio kalenda, chenga sio chenga tangu November mwaka Jana.

Sasa nimeamua kumpeleka mahakamani mwezi wa sita mwaka huu baada ya uvumilivu kufikia mwisho.

Alivyo jeuri, mahakamani aliiambia namdai 2.1M(nilistaajabu mno). Kwamba eti iyo laki Tisa keshanipa wakati niuongo. Nyaraka zote ninazo na nimewasilisha.

Tuliamriwa kuleta mashahidi. Mimi nimeshamaliza hilo, shahidi alomsema yeye amekwishahama mjini kwetu hapa na hana mawasiliano naye wala hajui alipo, eti anaendelea kumtafuta.

Nduguzangu, just imagine tangu mwezi wa saba hadi Leo hii kesi inaahirishwa kisa shahidi wake hajapatikana. Na mambo yangu yameyumba siwezi kuwahadisia hapa.

Hivyo, naombeni msaada wenu jamani. Nimetafakari sana ndo nikakumbuka watu wengi huponea humu JamiiForum. Naombeni msaada wenu tafadhali, NIFANYEJE???
vizur ungeomba mahakama iattach mali yake moja pending determination ya kesi kwasababu hio itafanya delays zisiwepo ili na wewe uwe na laverage sio mtu anakaa mtaani anasema shahidi hapatikani sasa manake msiendelee na kesi au we ungeomba mahakama hata saiv iattach mali yake yoyote ile isiohamishika ili uyo mdaiwa wako amlete shahidi mahakamani
 
vizur ungeomba mahakama iattach mali yake moja pending determination ya kesi kwasababu hio itafanya delays zisiwepo ili na wewe uwe na laverage sio mtu anakaa mtaani anasema shahidi hapatikani sasa manake msiendelee na kesi au we ungeomba mahakama hata saiv iattach mali yake yoyote ile isiohamishika ili uyo mdaiwa wako amlete shahidi mahakamani
Asante bro. Jambo hilo limekwishafanyika kwa kupewa barua kusimamisha biashara yake Fulani hivi(siitaji humu).

Ila, walichoandika nikwamba eti ile Mali itazamwe vizuri na isiharibiwe wala kuhamishwa.

Lakini ninachoshangaa, pamoja na muendelezo wote huu na usumbufu huu Ofisi/Mali ile inaendelea kumuingizia pesa, inafanya kazi kama kawaida bila tatizo.

Jamaa anaendelea kipiga pesa mi naungaunga tu mtaani. Ko sjui nafanyanyeje apo.
 
Kiongozi mie nimeona tatizo kwenye ufunguaji wa kesi wewe ulitakiwa kumshitaki kwa kujipatia fedha kwa nuia ya udanganyifu ila kwa njia hio uliosrma ya kumkopesha na jalada linadema hivyo basi utasubiri sana
Kwa njia ya udanganyifu halafu ikawaje kuwa alikudanganya ukampa pesa sawa mahsahidi wapo wapi,si ndiyo ingerudi huko huko maana jamaa anasema shahidi anaye ila yupo mbali
 
Ushauri wangu ni kwamba kwa kuwa shauri limehairishwa zaidi ya mara tatu na bado mdeni wako haleti shahidi, iombe mahakama iendelee kwa sababu hakuna reasonable expectation ya huyo shahidi kuja kutoa ushahidi kama ulivosema.

Zaidi ni kwamba endapo utashinda kesi, hukumu itakupa nguvu ya kulipwa hata ikibidi kwa kukamata mali zake na kuuza

Pia deni linamfunga mtu pale ambapo anashindwa kukulipa na hana mali za kukamata(" Civil prisoner").
Nakubaliana nawe hoja ya nguvu hii
 
Kwa njia ya udanganyifu halafu ikawaje kuwa alikudanganya ukampa pesa sawa mahsahidi wapo wapi,si ndiyo ingerudi huko huko maana jamaa anasema shahidi anaye ila yupo mbali
Amekosea kidogo kufafanua. Nadhani alimaanisha "WIZI WA KUAMINIWA"

hiyo ndo ingekaa vizuri
 
Kama amekuruka imebaki 2.1m instead ya 3m je una usibitisho wowote njia mlizokua mnatumia za kutunza kumbukumbu wakati anakulipa maana pia nae ana haki ya kusikilizwa na kujitetea hata kama anasema uongo kinachotakiwa ni kutoa uthibitisho kuiaminisha mahakama kama jambo lipo hivi.
 
Back
Top Bottom