Ukimstaki kwakosa hili inakiwa ni kesi ya jinai na siyo madai. Kesi ya jinai hukumu yake ni adhabu ya kifungo hivyo mdaiwa ataishiwa kufungwa na mdai hatapata chochote.Kwa njia ya udanganyifu halafu ikawaje kuwa alikudanganya ukampa pesa sawa mahsahidi wapo wapi,si ndiyo ingerudi huko huko maana jamaa anasema shahidi anaye ila yupo mbali