cetterhutter
Senior Member
- Sep 5, 2017
- 167
- 75
- Thread starter
-
- #21
Nitaamin kama ni wako ukiweza kuniunganisha naye aniambie mwenyewe.
Binadamu ana sifa ya udhaifu..Umeanza kwa kuonyesha udhaifu, umepunguza sifa kubwa ya MWANAUME.
So?Binadamu ana sifa ya udhaifu..
Kama sio hili basi litakuwa lile,Kwa kuuonesha ama kuuficha ila lazima anao
Umeniwahi mkuuItakuwa ni maajabu ya karne kama huyo dada yupo Single hadi sasa
ulikuwa na wazo kama langu?Umeniwahi mkuu
Ndio mkuuulikuwa na wazo kama langu?
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
sio mbaya kiongoziNdio mkuu
Duuuuu nikaombe kibarua IPP niwe karibu naye hilo wazo limekaa poa babati mbaya sipo dsm
Omba uwakala kuanza ulipo mkoani then uwe unataka kuwasiliana nae yeye kufikisha taarifa.....then one day utampa dukuduku lako tu....Duuuuu nikaombe kibarua IPP niwe karibu naye hilo wazo limekaa poa babati mbaya sipo dsm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ipo maana nipo mkoanMtafute Ofisini kwao mikocheni. Mvizie SAA 11 jioni.
Ndio nikiweza kuwasiliana naye tu natangaza ndoa maana nimekuwa nikimufikilia sanaTangaza ndoa tupo nyuma yako kukuchangia michango yote mpaka ya honeymoon.Hongera kutoa yako ya moyoni japo upo nyuma ya keyboard
Pilato 007
Kila LA kheri Mkuu usisahau kunipa kadiNdio nikiweza kuwasiliana naye tu natangaza ndoa maana nimekuwa nikimufikilia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka cha uvungu shurti uianame. Mfungie safari bwana! Ndo ataamini umemlove.