joe peters
Member
- Dec 16, 2010
- 85
- 18
ushindi wake ulikuwa halali au alichakachua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:
Mwancheni mwaya, hata mimi namfagilia maana anamiliki gari aina ya X5 alilopewa na mafisadi kwa sababu ya ku-facilitate kuingiza vi mem:hungry😱 vyao mezani kwa mkulu.
hivi watu kwa nini mna hasira hivyo? too emotional! kumbukeni hili ni jukwaa la great thinkers na sio jukwaa la watu wenye jazba za kinanihii.....
punguzeni jazba, toeni hoja.....vinginevyo hatutafika tunakokwenda.
endelea kumfagilia kwa kuwa ana website mmwombe kabisa akubusu na kukuchum.
Unebania bana....
![]()