Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Kuna Kipindi Huku January Makamba Alikuwa Anaonekana Anafaa Kuwa Rais Wa Hii Nchi, Hivi Mpaka Sasa Kuna Watu Bado Wanaamini Hivyo?Pale Manchester United kuna mchezaji ambaye amekua akishutumiwa na kupewa lawama nyingi kutokana na ufanisi wake uwanjani Harry Maguire hivyo hivyo kwa Waziri January Makamba ambaye wizara yake iimepoa mithili ya mchuzi wa juzi usiokua na nyama.
View attachment 2212615
View attachment 2212616
Tumepigwa sana....Tumepigwa pale!
Jamaa mpigaji sanaAtuambie Crane la tani26 liko wapi?
Labda kama tunatafuta machafuko kwa nguvuNa bado bon tauni anataka awe prezdaaaa yani hii nchi inawenyewe
Kuna dili la nguzo za SauziAtuthibitishie nguzo zetu za mufindi kwann anasema hazina ubora
Halafu crane la kukodi eti, daah, na ni permanentJamaa mpigaji sana