ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Asilimia ngapi? only 10%? Kama 25% hivi ni gharama ya kuwauza Wakulima, ajira kibao.Kuna dili la nguzo za Sauzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia ngapi? only 10%? Kama 25% hivi ni gharama ya kuwauza Wakulima, ajira kibao.Kuna dili la nguzo za Sauzi
Alifutiwa matokeo ya sekondari pale Tanga baada ya kujulikana ameiba mtihaniKwani huyu jamaa ana taaluma gani haswa ya kisomi ukiacha wadhifa alionao.
Uyu Jamaa Ni muhuni Sana[emoji3525]Kuna dili la nguzo za Sauzi
Kwahiyo elimu yake ni ya ku ungaunga kama madereva sio??Alifutiwa matokeo ya sekondari pale Tanga baada ya kujulikana ameiba mtihani
Ni mzoefu, yuko sehemu muhimu kuwaibia Watz kwenye wizara nyeti kuliko zote.Alifutiwa matokeo ya sekondari pale Tanga baada ya kujulikana ameiba mtihani
Elimu yake ni ya hapa na pale kama KubeneaKwahiyo elimu yake ni ya ku ungaunga kama madereva sio??
JanuaryNi mzoefu, yuko sehemu muhimu kuwaibia Watz kwenye wizara nyeti kuliko zote.
😆😆😁😁Kubenea huyu huyu anaeshinda mahakamani kila siku ndugu yake Marehemu Mtikila??Elimu yake ni ya hapa na pale kama Kubenea
Huyo huyo we muuliZe amesoma wapi kama hamtakesha mnagombana[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16]Kubenea huyu huyu anaeshinda mahakamani kila siku ndugu yake Marehemu Mtikila??
January
Rizi 1
Nape
Hawa ni wapigaji waliofundishwa na Ruge
Kule rufiji nasikia kuna crane zipo zina uwezo wq kubeba tone elfu 70 then feb akataka kupiga cha juu akidai inabidi zikodiwe crane za kubeba tone elfu 25Halafu crane la kukodi eti, daah, na ni permanent
YOU HAVE HIT THE NAIL ON THE HEAD! YOUR VASCO DAGAMA'S VOICE.Nilivyo ona tuu january kakabidhiwa wizara ya nishati tuuu nikajua waTz tumekwisha yaani li fisi linakabidhiwa bucha, sasa tujiandae kuyabeba madeni yoote ya michongo aliyo yasahau mkwere kwenye ile awamu ya mafisadi
Mambo ya insha. Mtaalam wa kuandika hotuba za executiveKwani huyu jamaa ana taaluma gani haswa ya kisomi ukiacha wadhifa alionao.
Kwahiyo Makamba ndio vitu na sio mtu.Acha kumfananisha Maguire na vitu vya KIJINGA!
Eti kwa vile ni mtoto wa flani ataweza tu, matokeo yake ndio hayo, ila ninachojua naibu wake yuko njema sana, lkn kingine yawezekana kila mipango wanayoweka mezani kwa ajiri ya kuboresha ikipelekwa kwenye cabinet onapigwa chini au haipangiwi kabsaaa.Na bado unaambiwa ubaki nalo moyoni.Makamba naona angefaa kufanya kazi za ofisini kuajiriwa ila sio kupewa uwaziri au uongozi wowote ule.
Dadeq wallah!!Unajua Ndugu zangu, kuzaliwa katika Familia za Kisiasa, hakukufanyi wewe kua Kiongozi Bora.
MAKAMBA kama alivyo RIDHIWANI , Hawa ni wahuni tu na inaeleweka ni wahuni.
Elimu zao zimejaa UJANJA UJANJA, wizi wa mitihan kubebwa bebwa Kwa Nafasi za Wazazi wao mpaka wamefika hapo .
Lkn ukweli unabaki kua palepale, HAWA WATU NI MABOGAS , YAAN VICHWA MAJI , VICHWA PANZI, HAMNA KITUU.
WANA UWEZO KIDUCHUUUUU MNOOOO!!.
Nyie simnaona majibu yao yalivyo !!.... Sasa kwakua " Bi Ukinikuna"naye ni walewale walosoma Kwa kuunga unga sababu ya Akili kisoda wakati huohuo kwao wanajiweza kiuchumi, Ndo matokeo haya , Kipofu anamlinda Kipofu mwenzake.
KATIBA ,IMETUPIGA NA KITU KIZITO SANAAAA KWAKWELI .