Namfananisha January Makamba na Harry Maguire!

Namfananisha January Makamba na Harry Maguire!

Unajua Ndugu zangu, kuzaliwa katika Familia za Kisiasa, hakukufanyi wewe kua Kiongozi Bora.


MAKAMBA kama alivyo RIDHIWANI , Hawa ni wahuni tu na inaeleweka ni wahuni.


Elimu zao zimejaa UJANJA UJANJA, wizi wa mitihan kubebwa bebwa Kwa Nafasi za Wazazi wao mpaka wamefika hapo .


Lkn ukweli unabaki kua palepale, HAWA WATU NI MABOGAS , YAAN VICHWA MAJI , VICHWA PANZI, HAMNA KITUU.

WANA UWEZO KIDUCHUUUUU MNOOOO!!.





Nyie simnaona majibu yao yalivyo !!.... Sasa kwakua " Bi Ukinikuna"naye ni walewale walosoma Kwa kuunga unga sababu ya Akili kisoda wakati huohuo kwao wanajiweza kiuchumi, Ndo matokeo haya , Kipofu anamlinda Kipofu mwenzake.




KATIBA ,IMETUPIGA NA KITU KIZITO SANAAAA KWAKWELI .
 
Nilivyo ona tuu january kakabidhiwa wizara ya nishati tuuu nikajua waTz tumekwisha yaani li fisi linakabidhiwa bucha, sasa tujiandae kuyabeba madeni yoote ya michongo aliyo yasahau mkwere kwenye ile awamu ya mafisadi
YOU HAVE HIT THE NAIL ON THE HEAD! YOUR VASCO DAGAMA'S VOICE.
 
Mungu yu mwema wakati wote

Biblia inasema chochote apandacho mtu ndicho avunacho
 
Makamba naona angefaa kufanya kazi za ofisini kuajiriwa ila sio kupewa uwaziri au uongozi wowote ule.
Eti kwa vile ni mtoto wa flani ataweza tu, matokeo yake ndio hayo, ila ninachojua naibu wake yuko njema sana, lkn kingine yawezekana kila mipango wanayoweka mezani kwa ajiri ya kuboresha ikipelekwa kwenye cabinet onapigwa chini au haipangiwi kabsaaa.Na bado unaambiwa ubaki nalo moyoni.
 
nchi upigaji umerudi kwa kasi sana chuki ya wananchi ni kubwa sana any way sijui itakuaje
 
Unajua Ndugu zangu, kuzaliwa katika Familia za Kisiasa, hakukufanyi wewe kua Kiongozi Bora.


MAKAMBA kama alivyo RIDHIWANI , Hawa ni wahuni tu na inaeleweka ni wahuni.


Elimu zao zimejaa UJANJA UJANJA, wizi wa mitihan kubebwa bebwa Kwa Nafasi za Wazazi wao mpaka wamefika hapo .


Lkn ukweli unabaki kua palepale, HAWA WATU NI MABOGAS , YAAN VICHWA MAJI , VICHWA PANZI, HAMNA KITUU.

WANA UWEZO KIDUCHUUUUU MNOOOO!!.





Nyie simnaona majibu yao yalivyo !!.... Sasa kwakua " Bi Ukinikuna"naye ni walewale walosoma Kwa kuunga unga sababu ya Akili kisoda wakati huohuo kwao wanajiweza kiuchumi, Ndo matokeo haya , Kipofu anamlinda Kipofu mwenzake.




KATIBA ,IMETUPIGA NA KITU KIZITO SANAAAA KWAKWELI .
Dadeq wallah!!
 
dah!,wabongo mnajua kuonganisha mambo.Harry Maguire huyu huyu aliyemtandika buti la uso Pogba uwanjani ndo mnamfananisha na Janu[emoji23][emoji28]
 
Back
Top Bottom