daza steven
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 359
- 358
Nimemsikiliza leo huyu Mzee kwa umakini mkubwa ndiyo nimemwelewa vizuri kwa mara ya kwanza kuwa Rais wa awamu ya 5 Ndugu na Daktari Joni Pombe Magufuli ni kiongozi si waajabu lakini nimemfananisha na Mfalme Nebkadneza ambaye yeye wakati wa utawala wake alikuwa anategemea wataalam wa mwili yaani kidunia na wataalam wa mambo ya roho yaani vitu visivyo onekana katika mwili hili kufanikisha mambo katika utawala wake.
Ukimsoma vizuri Mfalme Nebkadneza katika kitabu cha Daniel utaona wazi alikuwa akihitaji sana ushauli kutoka kwa mainjinia, wataalam wa hesabu na wataalam wa kijamii lakini vilevile alikuwa anawatumia wanajimu, waganga wa asili, watu wanao wasiliana na roho, wabashiri na watu wanaoamini Mungu na miungu yeye akuwaacha walikuwa washauri katika Ikulu yake na walikuwa na posho, mshahara kama wafanyakazi wengine.
Mfleme Nebkadneza alikuwa akulupuki hata sikumoja na hakuwa na kazi za makosa au kukosea kosea, Ninamfananisha na DKT Pombe magufuli, leo amedadavua kitu ambacho lazima uchanganye elimu ya dunia na roho pia uweze kupata jibu. Wakati dunia imekosa majibu yeye Magufuli anayatafuta majibu, unaelewa?
Wapinzani hususani Chadema wamekuwa wakipiga kelele kila kuchao wakisema, tu lokudauni tena neno la kizungu kama lilivyo wamelileta kama lilivyo tufanye kama wazungu wanavyofanya lakini Mhs. Amilijeshi Mkuu wa Majeshi amechomoa na kupigilia msumali kwa kusema na yeye kizungu Neva. Hakuna Dar kufungwa wala hakuna mtu yeyote kufungiwa ndani hadi kieleweke.
Sitaki kusema mengi ila natoa ushauri kwa makundi mawili yaani wananchi na kundi lingine ni wanasiasa hasa wapinzani:
Watanzania mimi nawashauri kwa kuwa nimemwelewa huyu mtu wekeni imani yenu kwake hakulupuki hata kidogo anaingia kote kote kupata majibu.
Wanasiasa hasa wapinzani mtakuwa na kazi ngumu zana tena kama mtaendelea kushindana na huyu mtu mimi nawaambia ukweli huyu ni noma na msipo angalia mtakosa lijitimasi katika jamii ya watanzania kwani ninyi mnapambana naye katika mwili tu na katika mwili vilevile hamko vizuri ni lazima mtakuwa mnafeli kilasiku ndiyo maana tangia jamaa aingie madarakani hakuna hata kiki moja iliyowai kupiga ikawaka amshagai? Msimuangalie kwa huruma jamaa anatoa doctrine kutoka katika biblia na misahaf na vitabu vingine vya imani. Anakusanya data bila kulala, usiku kucha anatafuta alafu ninyi mnaamka asubui saa 4 mnaanza kumpinga hakika mtapata taabu sana.
Sasa angalia hasara ya kucheza ngoma za wazungu, walisema lokudauni lakini leo kule Marekani wananchi wametoka wote nje tena wanaandamana kama hakuna korona, wamekataa kufungiwa ndani na rais trump amewasapoti, tujifikirie.
Alafu ni hatari kuwa na viongozi ambao jambo wakifanya watu wa dunia ya kwanza naye anataka na sisi dunia ya pili tufanye hivyo huyo si kiongozi au viongozi. Viongozi kama hawa lazima tuwaogope sana ni hatari.
Ukiamgalia utaweza kushangaa sana kama ni mfwatiliaji mambo katika nchi za dunia ya kwanza zote kadri walivyozidi kulokudouni ndiyo maambukizi yalivyokuwa yanazidi kuongezeka sasa hili uwezi kuliona katika mwili lazima uwe Nebkadneza.
Hakika Magu msimwangalie kwa huruma ni noma tulieni hadi apite wallah amumwezi.
Watanzania namaliza kwa kusema msimwangalie Mzee Magu kama mnaangalia kipala chake ni zaidi ya vile mnavyomwona wekeni imani yenu kwake hakika mtapona katika hii vita ya korona na uchumi wa Tanzania.
Nimejaribu kupunguza maneo sana mwenye masikio na asikie.
Ukimsoma vizuri Mfalme Nebkadneza katika kitabu cha Daniel utaona wazi alikuwa akihitaji sana ushauli kutoka kwa mainjinia, wataalam wa hesabu na wataalam wa kijamii lakini vilevile alikuwa anawatumia wanajimu, waganga wa asili, watu wanao wasiliana na roho, wabashiri na watu wanaoamini Mungu na miungu yeye akuwaacha walikuwa washauri katika Ikulu yake na walikuwa na posho, mshahara kama wafanyakazi wengine.
Mfleme Nebkadneza alikuwa akulupuki hata sikumoja na hakuwa na kazi za makosa au kukosea kosea, Ninamfananisha na DKT Pombe magufuli, leo amedadavua kitu ambacho lazima uchanganye elimu ya dunia na roho pia uweze kupata jibu. Wakati dunia imekosa majibu yeye Magufuli anayatafuta majibu, unaelewa?
Wapinzani hususani Chadema wamekuwa wakipiga kelele kila kuchao wakisema, tu lokudauni tena neno la kizungu kama lilivyo wamelileta kama lilivyo tufanye kama wazungu wanavyofanya lakini Mhs. Amilijeshi Mkuu wa Majeshi amechomoa na kupigilia msumali kwa kusema na yeye kizungu Neva. Hakuna Dar kufungwa wala hakuna mtu yeyote kufungiwa ndani hadi kieleweke.
Sitaki kusema mengi ila natoa ushauri kwa makundi mawili yaani wananchi na kundi lingine ni wanasiasa hasa wapinzani:
Watanzania mimi nawashauri kwa kuwa nimemwelewa huyu mtu wekeni imani yenu kwake hakulupuki hata kidogo anaingia kote kote kupata majibu.
Wanasiasa hasa wapinzani mtakuwa na kazi ngumu zana tena kama mtaendelea kushindana na huyu mtu mimi nawaambia ukweli huyu ni noma na msipo angalia mtakosa lijitimasi katika jamii ya watanzania kwani ninyi mnapambana naye katika mwili tu na katika mwili vilevile hamko vizuri ni lazima mtakuwa mnafeli kilasiku ndiyo maana tangia jamaa aingie madarakani hakuna hata kiki moja iliyowai kupiga ikawaka amshagai? Msimuangalie kwa huruma jamaa anatoa doctrine kutoka katika biblia na misahaf na vitabu vingine vya imani. Anakusanya data bila kulala, usiku kucha anatafuta alafu ninyi mnaamka asubui saa 4 mnaanza kumpinga hakika mtapata taabu sana.
Sasa angalia hasara ya kucheza ngoma za wazungu, walisema lokudauni lakini leo kule Marekani wananchi wametoka wote nje tena wanaandamana kama hakuna korona, wamekataa kufungiwa ndani na rais trump amewasapoti, tujifikirie.
Alafu ni hatari kuwa na viongozi ambao jambo wakifanya watu wa dunia ya kwanza naye anataka na sisi dunia ya pili tufanye hivyo huyo si kiongozi au viongozi. Viongozi kama hawa lazima tuwaogope sana ni hatari.
Ukiamgalia utaweza kushangaa sana kama ni mfwatiliaji mambo katika nchi za dunia ya kwanza zote kadri walivyozidi kulokudouni ndiyo maambukizi yalivyokuwa yanazidi kuongezeka sasa hili uwezi kuliona katika mwili lazima uwe Nebkadneza.
Hakika Magu msimwangalie kwa huruma ni noma tulieni hadi apite wallah amumwezi.
Watanzania namaliza kwa kusema msimwangalie Mzee Magu kama mnaangalia kipala chake ni zaidi ya vile mnavyomwona wekeni imani yenu kwake hakika mtapona katika hii vita ya korona na uchumi wa Tanzania.
Nimejaribu kupunguza maneo sana mwenye masikio na asikie.