Namfananisha Rais Magufuli na Mfalme Nebkadneza

Namfananisha Rais Magufuli na Mfalme Nebkadneza

Kweli yani bado ni tu-mtu tuchache mnoo(God forbid!)
tufe tufe kwanza ili tuendelee kupima upepo wa feni kwa kuweka viganja kwenye njia yake ili tuone nini kitatokea,hakika nawambia piga kazi walaaa hamna shida.kwan mnaogopa nini watanzania,watu kumi tuu ndo muogope hivi!!(alisikika baba mmoja aliyerudi toka safari isiyojulikana)
Jaman watanzania hatutokufa na kakorona haka
Watu 10 ndio wamekufa hata ajali ya baiskeli haiui hivyo
Hapa shughuli ni hofu tu

When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
 
Back
Top Bottom