Namfua: Singida United imefuzu kwa kuichabanga Yanga goli 4 kwa 2 kombe la shirikisho

Waandishi wa habari wa Tanzania siku zote ni mambumbumbu when it comes to mpira, wao wanafikiri mpira unachezwa magazetini. Mpira wa Yanga siku zote unahamuliwa magazetini na waandishi wao wa habari wasiojuwa mpira. Kiko wapi sasa, yaliyo andikwa tofauti na kilichotokea. Mabidilikeni jamani, mnachosha.
 
Leo Kweli Amani! [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Kagegedwa! Chelshit Kabakwa.. teh teh teh teh teh teh teh πŸ˜€ πŸ˜€
 
Eti yaichabanga nimekumbuka vichwa vya habari magazetini zamani[emoji3] [emoji3]. Inaonyesha we ni shabiki usiye Wa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…