Namhitaji mke mwenye maambukizi ya VVU

Namhitaji mke mwenye maambukizi ya VVU

mtepwete

Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
7
Reaction score
13
Kwa heshima na uadilifu najitokeza hapa kumtafuta mwanamke mwenye ugonjwa wa virusi vya maambukizi ya ukimwi kiukweli,ili awe mke wangu wa maisha yote!!Mimi ni mwanaume wa miaka kati ya 47 na 52,nina nia ya dhati na ya kweli kutoka moyoni natafuta mwanamke mwenye hali hiyo na mwenye kujielewa ili awe mke wangu wa maisha!!Nikisema mwenye kujielewa nina maana yule ambae ameamua kuachana na masuala ya ngono na hasiye na tamaa za ngono mwenye kujua yeye ni mgonjwa sasa anaitaji kuishi maisha ya matumaini!!

Nikisema kiukweli nina maananisha utakuta mtu ni mgonjwa wa vvu lakini ana tamaa za ngono na anapenda ngono wakati anajua ngono ndio chanzo cha yeye kuumwa hajilindi wala haogopi kifo.Yule mwanamke ambae anafanana na maelezo hayo na ambae anaishi maisha ya matumaini,mwenye nia ya dhati toka moyoni,mwenye dhamira ya ukweli toka rohoni kuwa ana malengo kweli anaitaji mume na sio malengo binafsi naomba tuwasiliane kwa 0762626120 au email adres ifuatayo mtepwetepwe@gmail.com karibu sana jamani
 
Uko sawa kaka ume eleweka ila ninge penda ku jua na ww uko kwenye kundi hilo? Au ni maamuzi tuu!!
 
Nimejua hivyo ila kwanini ufanye hivyo? Haikua good move
Huo ni ushamba tu kwani kama mtu angetaka jina lake halisi angeshindwa kumuangalia kupitia namba hiyo ya simu hadi ubandike jina lake hapa?!! Watu wengine ni viherehere sana. Hajafanya powa
 
yaan JF kuna watu wapo kwa ajili ya kukatisha wenzao tamaa... na wapo pia wa kuwapa wenzao imani... na wapo wachekeshaji tu hawajielewagi hawa watu!
 
Ktk hii dunia Kuna mambo mengi ya kujifunza ndugu yetu ana moyo wa dhati na mungu atamuongoza .Kwa dhamira alio nayo .Kwani alikuwa na uwezo wa kukaa kimya akatafuta mchumba akaish nae 2 pasi na kumuoa lakin kaja mbele tena ya hadhira anasema anatafutamwenza Alie victims amuoe waanze safar pamoja nasema mungu akuongoze tena akusimamie umpate mwenzi wako tupo. Pa1
 
NIMEJITOKEZA TENA KUTAFUTA MWANAMKE MWENYE MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI ILI AWE MKE WANGU WA MAISHA

MM NINA UMRI KATI YA MIAKA 45 - 50
MREFU,SLIM BODY,MAJI YA KUNDE
SIFA ZA MKE:
AWE MREFU
AWE MWEUPE
AWE MWEMBAMBA

MAWASILIANO:
0762 62 61 20

WHATSAPP:
+255762 62 61 20

KARIBU SANA

Niko seriously naitaji mke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni +ve?Naogopa HIV jamani. Utapata wapo wengi tu wanaishi na HIV.
 
Back
Top Bottom