Kwa heshima na uadilifu najitokeza hapa kumtafuta mwanamke mwenye ugonjwa wa virusi vya maambukizi ya ukimwi kiukweli,ili awe mke wangu wa maisha yote!!Mimi ni mwanaume wa miaka kati ya 47 na 52,nina nia ya dhati na ya kweli kutoka moyoni natafuta mwanamke mwenye hali hiyo na mwenye kujielewa ili awe mke wangu wa maisha!!Nikisema mwenye kujielewa nina maana yule ambae ameamua kuachana na masuala ya ngono na hasiye na tamaa za ngono mwenye kujua yeye ni mgonjwa sasa anaitaji kuishi maisha ya matumaini!!
Nikisema kiukweli nina maananisha utakuta mtu ni mgonjwa wa vvu lakini ana tamaa za ngono na anapenda ngono wakati anajua ngono ndio chanzo cha yeye kuumwa hajilindi wala haogopi kifo.Yule mwanamke ambae anafanana na maelezo hayo na ambae anaishi maisha ya matumaini,mwenye nia ya dhati toka moyoni,mwenye dhamira ya ukweli toka rohoni kuwa ana malengo kweli anaitaji mume na sio malengo binafsi naomba tuwasiliane kwa 0762626120 au email adres ifuatayo mtepwetepwe@gmail.com karibu sana jamani
Nikisema kiukweli nina maananisha utakuta mtu ni mgonjwa wa vvu lakini ana tamaa za ngono na anapenda ngono wakati anajua ngono ndio chanzo cha yeye kuumwa hajilindi wala haogopi kifo.Yule mwanamke ambae anafanana na maelezo hayo na ambae anaishi maisha ya matumaini,mwenye nia ya dhati toka moyoni,mwenye dhamira ya ukweli toka rohoni kuwa ana malengo kweli anaitaji mume na sio malengo binafsi naomba tuwasiliane kwa 0762626120 au email adres ifuatayo mtepwetepwe@gmail.com karibu sana jamani