tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Mwili wa huyu mchungaji unazidi kudhoofika sijui anaumwa nini.
Tumuombee huyu MtumishiView attachment 1060915
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah! Anakula sadaka na kujaza sukari mwilini huku waamini wake wakinywa uji bila sukari..
Wakati mwingine nakuwa na wasiwasi na vitu viwili.
unasema hivyo wewe ni mshenga wakeNamkumbuka mkewe alikuwa dada mmoja anatangaza vipindi vya kwaya pale TBC ila nasikia alimtelekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine nakuwa na wasiwasi na vitu viwili.
1. Labda kakiuka masharti ya kuendesha Ministry, au
2. Muda wa idadi ya punje za mahindi umekaribia kuisha.
Doctor upo vizuriPhysical outlook
. Miserable apparently- not interested with the sarrounding
. straight hair, easily pricable
. Wasting gradually.
. fainting in skincolur opposite of shinny
Implication- certain pathology is going on in his body
Duh...!au sukari
Wangapi wamekanyaga na wala huwezi kuwatambua? Ana kitu cha ziada huyu "Mtumishi"Duuuh! Kuna muda nilijiuliza huyu mzee amepatwa na depression kiasi cha kuamua kuwa mlevi..??? Nadhani kipindi hicho ndiyo aligundua amekanyaga..!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahhaSukari ya Warembo ?
Utumishi, personality yake, maneno yake kanyoshea watu sana vidole lazima apate depression, ni vigumu kuikubali ile hali watu wengi hufa kwa shot si kwasababu ya shot bali regression..!Wangapi wamekanyaga na wala huwezi kuwatambua? Ana kitu cha ziada huyu "Mtumishi"