Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Sorry Aggy, Mchungaji anakunywa pombe !??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry Aggy, Mchungaji anakunywa pombe !??
Dah sidhani, labda gongo. Huku Street watu wanagonga konyagi daily na wako poaKonyagilism effect
Hakika mkuuhatari...ni muda wetu kumuombea..
ni nani huyo?Wa Tanganyika Packers yule wa kweli hana mauza uza yule anachapa injili ya kweli sina mashaka naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapadre ni watu kama wewe..sio malaika..hivyo naona wanaanguka ktk dhambi....ila kuanguka kwao dhambini hakuondoi Utakatifu wa Kanisa....Kanisa Litabaki kuwa Takatifu...maana lipo kwa ajili ya kutakatifuza hao wadhambi wakiwamo Mapadre....
Unaongelea miujiza..??? Unafikiri kilichomleta Yesu ni kuja kutoenesha style za miujiza...
Halafu hiyo unayoita miujiza sil miujiza..ila ni Illusion na Allucination za waumini wenye matatizo yao ya kiamaisha
Mkuu hata Mimi nimemuhoji maana nijuavyo kanisa ni watu na watu ndo hao mapadri wanaolawiti watoto
Sent using Jamii Forums mobile app[/
Nimeshangaa kidogo hapo kwenye kusema kanisa Takatifu.....huwezi kutaja U-takatifu ki jumlajumla tu hapo unaweza kujiona kwa kuwa m RC tu basi nawe ushakuwa mtakatifu kisa mafundisho yenu yanawaambia Kanika Takatifu RC.
Tunajisahau na kujichumia midhambi bure tu
Sent using [url=http://r.tapatalk.com/byo?rid=77694]Jamii Forums mobile app
Hapana mpendwa. Kwenye TV nilionaDuh unasali kwake?
Usitumie nguvu kujiaminisha kuwa upo sahihi,Kanisa haliwezi kuwa takatifu hata siku moja....hebu elezea kwanza maana ya kanisa maana usije kuwa umekalili kilichoandikwa katika katekismu “Kanisa Takatifu” doh!!
Mimi ni RC ila huu upuuzi hua naukataa sana
Sent using Jamii Forums mobile app