Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gitaa la Dally KimokoMadaktari wa JF wanakuja.
They diagnose by physical outlook.
Usicheze kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh unasali kwake?Kachoka kweli, nilimuona hata nguvu ya kukoroma akihubiri kama mwanzo hana tena.
Sawa Mkuu, Basi Naomba Unipe Ukweli Wewe Kuhusu Hili SualaUnachokitaka ni kupewa story za vijiwe vya kahawa. Endelee kudodosa dodosa ili udanganywe vizuri
Kumbe unaweza ukawa unaheshimika halafu kauli tuu ikakufanya kuwa hovyo..
Mapadre ni watu kama wewe..sio malaika..hivyo naona wanaanguka ktk dhambi....ila kuanguka kwao dhambini hakuondoi Utakatifu wa Kanisa....Kanisa Litabaki kuwa Takatifu...maana lipo kwa ajili ya kutakatifuza hao wadhambi wakiwamo Mapadre....Takatifu na skendo za mapadri kulawiti watoto???
Unaongelea miujiza..??? Unafikiri kilichomleta Yesu ni kuja kutoenesha style za miujiza...
Duh,isije ikawa tayari alishakanyaga miwaya na kuunganishwa kwenye grid ya taifa.Nimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
Yesu Kristo na mitume 12