Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Skandali nyingine mbaya niliyoipata toka kwa shemeji yenu ni kwamba huyu mtumishi alikuwa na appointment na dada mmoja mzuri na hela zake na pia ana usafiri. Baada ya soda mbili 3 yule dada hakujua kilichoendelea, ila alipozinduka alikuta yuko chumbani na sehemu nyeti zimechafuka sana na mtumishi hayupo kesha ondoka. Wamekataa kunitajia jina ka huyo dada nimfahamu huenda ni mtu wa karibu.

Kinachonishangaza mimi pamoja na kuona ile clip aliyolewa akitukanana na jirani yake ni kwamba jamaa yangu tumeoa sehemu moja alisota miaka kibao hapati mtoto, wakaenda kwa huyu mtumishi wakapata mtoto ila ana matatizo. Haya mambo yanishangaza sana. Sijui wana mbinu gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takatifu na skendo za mapadri kulawiti watoto???
Mapadre ni watu kama wewe..sio malaika..hivyo naona wanaanguka ktk dhambi....ila kuanguka kwao dhambini hakuondoi Utakatifu wa Kanisa....Kanisa Litabaki kuwa Takatifu...maana lipo kwa ajili ya kutakatifuza hao wadhambi wakiwamo Mapadre....

Mitume gani hao hata miujiza kanisani kwenu hamna

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongelea miujiza..??? Unafikiri kilichomleta Yesu ni kuja kutoenesha style za miujiza...

Halafu hiyo unayoita miujiza sil miujiza..ila ni Illusion na Allucination za waumini wenye matatizo yao ya kiamaisha
 
Back
Top Bottom