Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Mchungani hana tatizo lolote. Yuko physically fit.Sawa Mkuu, Basi Naomba Unipe Ukweli Wewe Kuhusu Hili Suala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchungani hana tatizo lolote. Yuko physically fit.Sawa Mkuu, Basi Naomba Unipe Ukweli Wewe Kuhusu Hili Suala
Ndugu yangu ni aibu kusema..mpaka alimfanyia fujo mtu na akarekodiwa hivi tukaona..na eneo la tukio mashahidi walishuhudia tena asubuhi na mapema katika ulwvini na mabaunsa wake...anatukana vibaya
Basi kuna binti mmoja akaja kumuansika kwenye blog yake..huyu lusekelo akamwambia we binti na wenzio mlioninansika nawatabiria hamfiki mwezi march mnakufa.tena kanisani
Hii ni mbaya sana.mtumishi wa Mungu unamtabiria mtu kifo? Wakati unahubiri maandiko wanasema nsamehe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu ni aibu kusema..mpaka alimfanyia fujo mtu na akarekodiwa hivi tukaona..na eneo la tukio mashahidi walishuhudia tena asubuhi na mapema katika ulwvini na mabaunsa wake...anatukana vibaya
Basi kuna binti mmoja akaja kumuansika kwenye blog yake..huyu lusekelo akamwambia we binti na wenzio mlioninansika nawatabiria hamfiki mwezi march mnakufa.tena kanisani
Hii ni mbaya sana.mtumishi wa Mungu unamtabiria mtu kifo? Wakati unahubiri maandiko wanasema nsamehe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kuna kitu kinamsumbua katika nafsi yake ndio maana amekuwa mlevi.Kuhusu ule ni kweli mana mimi niliambiwa na mtu wa karibu yake,yani kaoa dada wa lusekelo kua jamaa pierre hamfikii kwa kunywa pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nikuulize unaijua vizur pete ya papa au hua unahadithiwa tu papa anavaa pete? Unajua ile pete imebeba kitu gani? Mkuu ile pete ya papa iache ilivyo, giza lililopo pale, waumin na wasio waumin wake, asilimia kubwa hawajui!!!Maaskofu wanavaa pete , hata papa anavaa pete , mbona mnaiogopa hiyo ya Lusekelo?
Weee kweli?[emoji848]alikuwa anawaambia watembee na funguo za gari za kuchonga japo hawana magari
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaa[emoji16][emoji16]...na waumini wakaamini?Zilianza kuvuma kuwa yupo hoi kitandani.....hatimaye waumini wake wakaambiwa Baba Godi ameenda kuzimu na kuna siku atarudi na nguvu kubwa ya kuondoa mapepo na kutenda miujiza mikubwa ya kutembea juu ya bahari....hadi leo tunasubiri,
Ha ha haUsicheke mkuu
Kwa mika yangu 5 ya jf nawajua hawa wenzangu.
Huwa ni jack of all trades and master of all.
Humu wanajua ugonjwa wa kila mtu, mwanasiasa, msanii, nabii, mchungaji, na kila aina.
Ni wewe tu kuanzisha thread majibu utapata kama haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika....tu wanafiki sana!Humu jukwaani kuanguka kwa afya ya mtu huwa ni furaha kuu kwa watu.
Binadamu wazuri kuongea nao usoni moyoni wanakuzodoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda anasahau kula anapiga vyombo vikali mnoooMwili wa huyu mchungaji unazidi kudhoofika sijui anaumwa nini.
Tumuombee huyu MtumishiView attachment 1060915
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa wanaamini kuwa Baba Godi atarudi...
Hizo ni Pete za bahati za majini,Muulize yeye, adress yake unaijua , nenda kanisani kwake atakuambia ? Unaogopa kivuli?
Giza!Wewe nikuulize unaijua vizur pete ya papa au hua unahadithiwa tu papa anavaa pete? Unajua ile pete imebeba kitu gani? Mkuu ile pete ya papa iache ilivyo, giza lililopo pale, waumin na wasio waumin wake, asilimia kubwa hawajui!!!
anakula sana nyagiiiii sanaKama anakunywa pombe na ana kisukari hizi ndiyo athari
mkuu unanitisha hii kitu ikiwa na madhara ya hivi sijui itakuwaje? maana tunaibwiyaKonyagilism effect