Pale kwenye kamusi uliyoitumia kuna kielelezo cha msamiati Rehemu.....ni kweli msamaha lakini msamaha huu unamhusu zaidi nani?Kurehemu means kusamehe, Rehema means msamaha sema ni divine words lkn maana ni sawa, usikalili mkuu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi bia hainaga tatizo?...naona wengi wanaizungumizia pombe kali tu?Kama ni mtumiaji wa pombe kali sana inawezekana ikawa chanzo ila kama sio sana basi inawezekana "GRIDI".
Doooh! Umeyaleta huku?...we jamaa lazima utakuwa ni ngosha, I bet[emoji16][emoji16]Lauren Londondon ndo mwanamke mzuri dunia nzima[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Rehema inatolewa kwa marehemu tu, ndio nasikia hapa leoPale kwenye kamusi uliyoitumia kuna kielelezo cha msamiati Rehemu.....ni kweli msamaha lakini msamaha huu unamhusu zaidi nani?
Matumizi sahihi ya kurehemu ni kwa marehemu na sio mtu hai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ni pana sana.Duh! Rehema inatolewa kwa marehemu tu, ndio nasikia hapa leo
Bia haina shida sana kama nyagi and the like.Hivi bia hainaga tatizo?...naona wengi wanaizungumizia pombe kali tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora tushangae wote mkuu,Duh! Rehema inatolewa kwa marehemu tu, ndio nasikia hapa leo
Hili sio gonjwa, waumini wamechacha, sadaka imepunguaSijui litakuwa gonjwa gani hilo. Kazeeka ghafla.
Ni lin mkuu ilitokea hii mana sijawah isikiaHappiness alichumbiwaga na kijana wa kichaga na mahari ilikwishatolewa, mzee wa 'upako' alimbeba kama mwewe. Happy sasa hv anamkumbuka mchaga wa watu, huku kwa mzee baba ndoa haisomi kabisa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mmh, wewe unamuongelea Happy yupi, mke wa Lusekelo anaitwa Happness Ngasara ni mtangazaji wa TBC na ni mtu mzima kiasi chakeHappiness alichumbiwaga na kijana wa kichaga na mahari ilikwishatolewa, mzee wa 'upako' alimbeba kama mwewe. Happy sasa hv anamkumbuka mchaga wa watu, huku kwa mzee baba ndoa haisomi kabisa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu pole yako na sieijii!!Kwanini Magufuli hakuruhusu GONGO mapema amukoe mchungaji huenda KONYAGI zimemkataa?
We acha mzaha. Huwez kumaintain had nywele. Zikapungua afya. Huyu kinga tu imepungua mwilin.Atakuwa anameintein bhana
Hahahaha. Only his God knows what's wrong with him.We acha mzaha. Huwez kumaintain had nywele. Zikapungua afya. Huyu kinga tu imepungua mwilin.