Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Mpete wa kishirikina huo, Pete la majini hilo alikuwa akivaa pia Shehe Yahya Hussein wa Magomeni enzi za uhai wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nikuulize unaijua vizur pete ya papa au hua unahadithiwa tu papa anavaa pete? Unajua ile pete imebeba kitu gani? Mkuu ile pete ya papa iache ilivyo, giza lililopo pale, waumin na wasio waumin wake, asilimia kubwa hawajui!!!
Funguka zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh, wewe unamuongelea Happy yupi, mke wa Lusekelo anaitwa Happness Ngasara ni mtangazaji wa TBC na ni mtu mzima kiasi chake

Huyo huyo mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kiafya vipi umemuonaje, kweli yuko hivi anavyoongelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happy Katabazi
 
Hawa si ndio huwa wanaponya kansa, kisukari, ukimwi n k .....
Sasa mbona wao huwa hawajiponyi?
Mganga hajigangi mkuu. Mpaka aende kwa nabii mwenzake kama vile Mwingira, Gwajima au Rwakatare ndiye amponye.
 
Ni vibaya Sana kuongelea lakini kujinyanyapaa wenyewe ndio kunatumaliza.
Kama wewe unapenda ulikotokea pima mara kwa mara. Ukigundulika Anza tiba mapema.
Status zetu zisitufanye tukafichama kwa Yale yanayotukabili mpaka kuzidiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…