Utakuwa urembo tu, sidhani kama ina umuhimu wowote kwenye huduma yakeNa hiyo pete vipi?
Zamani sana mkuu..kuna ndugu alinishawishi twende..sijawahi kwenda makanisa haya kwa hiyari yangu..mi nna dhehebu languAisee Aggy una roho ngumu. Ukaenda kabisa kanisani kwa Lusekelo?[emoji28][emoji28]
Inasmekekana kile kitaulo ni kujifuta jasho maana pale mbele alikuwa anakaa na kichupa cha konyagi.
Huo unaouogopa zaidi ya ukoma
kwa hiyo ndo umebashiri kijanja?Ugua pole mchungaji!
Watanzania siku hizi huwa hatuchelewi kutoa ubashiri ambao hautuhusu, utasikia anasumbuliwa na gridi ya taifa.
Sijui litakuwa gonjwa gani hilo. Kazeeka ghafla.Nimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
Huyu si ndiyo alisema Magu kachaguliwa na mungu😂😂😂Nimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
unamjua maana ya mungu amrehemu?Hiyo Pete hmm!
Ila Mungu amrehemu