Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

We mtu umenichekesha sana khaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata ukifatilia mahubiri yake tangu mwaka jana mwezi wa nane mpaka leo yamekaa kiwosia sana yanaashilia akimaliza hayo hana haki ya kuongea mengine zaid n amefika mwosho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya makanisa yanayoitwa ya kiroho haya!!!! unatangazia dunia kuwa una solve matatizo na magojwa ya yasiyotibika!!!! haya wanakuja !!!! tunazoeana!!!! wanakuwa waamini!!!! wanatoa ushuhuda wamepona!!!! tunashangiliaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…