Simjui namuonaga kwenye Tvunamjua maana ya mungu amrehemu?
thanks to god the almighty
Kwa kweliNimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
Mungu huwarehwmu marehemu tu (walio wafu), huyu bado yu hai.Hiyo Pete hmm!
Ila Mungu amrehemu
Aisee! Nan aliye kuambia hilo, au ndio ile mtu amekufa mnamuombea asamehewe dhambi hilo halipo
Ndio hivyo mziki wa konyagi unauujua
Hata ukifatilia mahubiri yake tangu mwaka jana mwezi wa nane mpaka leo yamekaa kiwosia sana yanaashilia akimaliza hayo hana haki ya kuongea mengine zaid n amefika mwosho
una ushahid ni mlevi?Get well soon lusekelo..ila uache pombe zitakumaliza
Sent using Jamii Forums mobile app