Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah
😂😂😂😂😂
Wataalam wa mambo!Madaktari wa JF wanakuja.
They diagnose by physical outlook.
Usicheze kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ikulu ni patakatifu?Usitumie nguvu kujiaminisha kuwa upo sahihi,
Wewe si kipimo cha ukweli kiasi kuwa ukikataa jambo inakuwa sahihi,
Jipe muda wa kuuliza na kujifunza,
Lkn km umeamua kukataa sababu tu akili yako imegota basi sawa,
Kanisa ni nini,
Biblia takatifu,
Mahali hapa patakatifu,
Hekalu takatifu
Nk nk nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za u HB!
Mkuu usifananishe pombe na uzinzi, waumini wake washapigiwa saaaaana, wawe wapole tuuu, ila inauma..[emoji849][emoji849][emoji849]Hahahaa Pombe ni Pombe tu ili mradi iwe na alcohol,sema madhara yanakuwa makubwa endapo % ya alcohol ikiwa kubwa,kwahiy concentration inapokuwa kubwa na effect yake inakuwa kubwa vile vile.
Tumekusoma mkuu!At least angenyoa hizo nywele
wadadisi wa mambo,hizi terminology bana daahWataalam wa mambo!
Hakuonekana ana binti....
Nywele kuwa hivyo ni dalili ya tatizo gani la kiafya?At least angenyoa hizo nywele
Kwamba papuchi na pombe ni vya ajabu hadi umshangae kwani ye nani? Nae si binadamu tu we hutumii?Daaah !!! ila huyu jamaa, inabidi akahiji mto Jordan, yaani bapa plus papuchi.....!!!! anaingiza kwenye nguvu za mungu...? Aisee , afanye jitihada zake binafsi ..., !!! Asijidanganye kuna wakumwombea..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kule kunona nona kunaisha
Izo vitu ni hatari kwa afya yako. Yaani hatari kwa afya ya mwanaume. DahKwamba papuchi na pombe ni vya ajabu hadi umshangae kwani ye nani? Nae si binadamu tu we hutumii?
Kuumwa kila binadamu anaweza umwa, Biblia inasema...Hata Elisha aliposhikwa na ule ugonjwa uliomuuwa....Nimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo. Kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana. Jamaa bila shaka ni mgonjwa, sielewi anasumbuliwa na nini!
View attachment 1060239
juzi alikuwa na press conference ya kusifu na kuabudu jitihada za JIWE.
Nywele za kisomali sababu ya pombe kali🎶🎵Nywele kuwa hivyo ni dalili ya tatizo gani la kiafya?
WE COULD NOT SPEAK ON PEOPLE'S STATUSES WHILE OURS ALSO ARE IN THE QUESTION MARK OR AT STAKE, SO WHETHER IF HE'S NOT OKAY MWENYEZI MUNGU AZIDI KUMBARIKI NA KUMJALIA AFYA NJEMA. AMENNimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo. Kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana. Jamaa bila shaka ni mgonjwa, sielewi anasumbuliwa na nini!
View attachment 1060239