Kakorofi wewe😂😂😂Muandiko Kama kapita konokono.
Huyu mwamba anapita alimopita Ruge Mutahaba alikuwa haachi kitu ukijipendekeza tuu umekwisha.Kwahiyo kila wakija watoto wa field lazima mpite nao? Acheni uhuni gonjwa lipo hili jamani
Hovyo sana huyu jamaa.Kama nimekuelewa vizuri hao mabinti wamekuja ofisini kwenu kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo sasa hiyo ofisi ni ya mafunzo ya ngono au