Namhurumia sana. Nimpe?

Namhurumia sana. Nimpe?

Na watoto wenu watafanyiwa hivyo hivyo watakapo enda field...
Japo hawa watoto wakija maofisini wanatengeneza mitego sana ili tuwagonge... Binafs huwa navaa sura ya mbuzi kazi kazi hadi field inaisha wanaondoka, na uzuri au ubaya wao wakiwa huko nje wanatangaza fulani na fulani ktk ile ofisi wanapenda ngono, na fulani na fulani ni makauzu...
Tendeeni mema watoto wa watu mtakuja kulipwa sawa na matendo yenu
 
Huyo anayejigonga kwako kam report polisi
Uchukue na RB kabisa…
 
Back
Top Bottom